Hakuna jumbo maskini kama jumbo la lisu.kabaki kupinga maendeleo ya wenzake kwake kunadorora.siasa zake za chuki binafsi wenzake mbele kwa mbele
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Ni vizuri walio fikia umri wa kustaafu waanze mapema kuliko kusubiri wapo vijana wenye fani hizo nao wapate ajira mapema.hapo sasa kuna nafasi 3 za ajira anaejiona amejaladia umri jitoe mapema usikutwe huko
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Du shetani kacharuka mm c muumini wa gwajima mm naamini mungu aliye umba mbingu na nchi na siwezi kufuata ya binadam niache ya mungu anayefuata ya binadam ni shetani
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Inawezekana askofu gwajima ni shetani waumini wake hawajui haeleweki yeye ni nani? Kwenye imani hayupo wala kwenye siasa lakini kwenye umbea mpaka povu hebu njuzeni nimfaham
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Kulikuwa na mtikila na kakobe nk nao walikuwa na matambo kama gwajima Leo hakuna hata wa kumkumbuka mungu hataniwi kwa mfano wa gwajima amepandishwa na iko cku atashuka na hayo matambo yataishaga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.