Recent content by Makachu

  1. Makachu

    Mliokuwa mnanajisi uhaini sasa mmeupata

    Mpaka sasa Jeshi la Wananchi limegawanyika. Kuna waliopo upande wa Wananchi ambao ni wengi na wapo wachache mno waliopo upande wa Serikali(Sa100) Sasa ukimkamata Captai Tesha au ukimuua, utazidi kuligwa Jeshi Yani itakuwa unazima moto Kwa kutumia Petrol. Jamaa ataachwa na atadunda tu mjini. Na...
  2. Makachu

    Jina gani la utani huwa unamuita mpenzi wako linaloshangaza

    Mimi wangu ninamwitaga majina Mengi sana ya Utani ila kwa leo nitalitaja jina moja tu. Huwa namuita VAMPIRE, sababu ya Meno yake yalivyokaa.
  3. Makachu

    Hivi manabii wazamani na mitume wa zamani walikuwa waarabu au wayahudi?

    Kwa Mujibu wa habari ndani ya biblia zinasena Daudi alikuwa Mfalme wa Israeli ya kale. Sasa tujiulize kabla ya kuwa Mfalme wa Israel ya Kale, Je, eneo hilo lilikuwa linaitwaje?
  4. Makachu

    Hivi manabii wazamani na mitume wa zamani walikuwa waarabu au wayahudi?

    Kabla ya Mwaka 1948, hakukuwahi kuwa na Taifa llililoitwa Israel. Sasa unapoandika Daudi(Israel) kisha unaandika Zakaria(Israel) sijui unamaanisha nini. Kama ni Daudi basi andika alikuwa Mfalme wa Israel ya Kale kwakuwa alikuwa akiwaongoza wana wa Israel na Yuda. Je, eneo hilo kabla ya kuea...
  5. Makachu

    Kenya wakimaliza kuvurumishana, wataikuta Tanzania imerusha satellite yake anga za juu

    Kama ni Uhuru wa Bendera upo katika Africa Nzima. Takribani Nchi zote maana kila kitu tunapangiwa chakufanya.
  6. Makachu

    Kenya wakimaliza kuvurumishana, wataikuta Tanzania imerusha satellite yake anga za juu

    South Africa Mpaka leo kuna slums nyingi tu huko soweto na umaskini upo kwa watu wao weusi, lakini hsijawazuia kufanya maendeleo Mengine mengi tu, likiwemo hili la kuwa na Sattelite 13. Nchi nyingi za Kiafrika zina Maslums na umasikini kama Uganda na Zimbabwe lakini Maendeleo mengine wamefanya...
  7. Makachu

    Kenya wakimaliza kuvurumishana, wataikuta Tanzania imerusha satellite yake anga za juu

    NCHI ZA KIAFRIKA ZINAZOONGOZA KWA KUWA NA SATTELITE NYINGI NDANI YA AFRICA. Hizi Rank zilitolewa na SpaceHubs Africa mnamo tarehe 19/08/2024. Spacehubs Africa walitoa list hiyo siku hiyo ukizingatia siku tatu nyuma yani tarehe 16/08/2024 ndio ilikuwa siku ambayo nchi ya SENEGAL ndio ilikuwa nchi...
  8. Makachu

    Kenya wakimaliza kuvurumishana, wataikuta Tanzania imerusha satellite yake anga za juu

    Swala la ukabila Kenya nitawatetea kidogo, ni lazima litakuwa lina uzito kwasababu kule Makabila Makubwa Makuu ni Mawili tu ambayo ni Wakikuyu na Wajaluo. Asilimia chache mno iliyobaki ndio makabila Mengine ambao wako wachache sana. Sasa hao Mafahari wawili wa Kikabila Kenya ni ngumu sana...
  9. Makachu

    Kenya wakimaliza kuvurumishana, wataikuta Tanzania imerusha satellite yake anga za juu

    Sasa hapa tupo pamoja kwamba umekubali kuwa Kenya ni wa kwanza kurusha sattelite yao kama sisi Tz tulivyokuwa wa kwanza kuwa na SGR na Kenya bado hawana. Ninashukuru kwa kulitambua hilo na ndio maana hata hizi Google Map ambazo tuna request bolt pia zinatumia sattelite za Marekani duniani...
  10. Makachu

    Kenya wakimaliza kuvurumishana, wataikuta Tanzania imerusha satellite yake anga za juu

    Ndugu yangu unapotosha sana, yani bado hutaki kukubali kwamba kenya wamepambana hadi kuwa na sattelite zake binafsi. Haijalishi pale Kenya kuwa na Base ya Uingereza, Marekani au la ndio iwe kigezo cha kutengenezewa Sattelaite. Mfano Marekani inaweza ikawa na Base Kenya lakini wakaendelea...
  11. Makachu

    Kenya wakimaliza kuvurumishana, wataikuta Tanzania imerusha satellite yake anga za juu

    Wewe jamaa kabla haujaleta Uzi hapa JF, cha kwanza fanya tafiti ujiridhishe kama Kenya walirusha Sattelite au la. Acha nikujuze kwa uchache vingine utatafuta mwenyewe mtandaoni A.K.A google. Kenya walirusha Sattelite ya kwanza mwaka 1970 waliyoipa jina la Uhuru. Pia kenya walirusha Sattelite...
  12. Makachu

    Kenya wakimaliza kuvurumishana, wataikuta Tanzania imerusha satellite yake anga za juu

    Mbona Kenya walisharushaga Sattelite kitambo tu, na nadhani wanazo kama tatu hivi. Nenda google utazipata hizi taarifa.
Back
Top Bottom