Binafsi njia sahihi ya ww kufahamu sio kumpgia cm,bali ni kufunga safar haadi kwake then jarbu kuongea nae kwa undani ni nin tatzo lake.
Naamin atakueleza km ni sabbu za kimapenz atakwambia na km ni zake binafsi atakwambia
mmmh!mwanaume anae mpenda mwanamke wake haogopi vitu km hvyo ktk uwanja wake wa nyumbani,sasa we unataka ucheze mechi zote kwako nenda viwanja vya ugenini
mwenyezimungu amesha sema hawa viumbe,
hawa ni wake zetu,
hawa kaeni nao mbali,
hawa si waminifu kabisha,
hawa watatufanya tuishi maisha ya kiutofauti kabisa.
pole sana mku,ila km bado unampenda na kumuhitaji bado unayo nafasi ya kuli new tena lain yako
hivi kukaa nae na kumwambia juu ya tabia yake imeshindika?au kwa nn usifuatilie ukamjua mume wake au bwana wake na kumpa matatzo ya mkeo huko kazin?
nafikir kaa na mumeo umwambie ukwel juu ya tatzo la mkeo then mpe tahadhali juu ya kile anachokitafuta mkeo kwako.
mkuu maji yapo kila sehemu.Ila kila sehemu hutofautiana upatikanajiwake wa miter kwenda chini.Vile vile kisima kina aina tatu za bei,hii ni kutokana na umbal wa maji ulipo
Habar za wakati,
Je,nyumbani kwako kuna uhaba wa maji?kama ndyo karibu sasa nikutatulie tatizo lako kwa kukuchimbia kisima cha maji safi na salama kwa gharama nafuu kabisa.Tuna zo machine za kisasa kabisa zenye uwezo wa kuchimba kisima katika mazingira yeyote yale.
Kwa mawasiliano nicheki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.