Recent content by MAKA PEN

  1. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

    wachezee wageni hapa jf lakini wenyeji tushakujua?
  2. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

    Hauna nidhamu ya biashara wewe, kuna siku nimekwambia nipo mlimani city nakuja hapo kwa remy ukasema poa. Nimefunga safari kufika kwa remy haupatikani kwenye simu, uliizima kabisa hata sikukuelewa ni kwanini ulifanya hivyo na ndipo nikaanza kuhisi yawezekana wewe ukawa ni tapeli ambaye hauna uzoefu
  3. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

    Kubali au kataa lakini wewe ni faizafoxy, isitoshe kuwa faizafoxy si kosa wala tusi ila ukweli ndio huo.
  4. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania Maoni, Mawazo & Ushauri kuhusu biashara ya Rasta na Weaving

    kwa ambaye pia anajua brand nzuri ya nywele na style zake naomba aniambie wadau
  5. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania Maoni, Mawazo & Ushauri kuhusu biashara ya Rasta na Weaving

    inategemena na supplier Honey Faith
  6. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania Maoni, Mawazo & Ushauri kuhusu biashara ya Rasta na Weaving

    nawasubiri mkuu
  7. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania Maoni, Mawazo & Ushauri kuhusu biashara ya Rasta na Weaving

    Wadau habari. Kwa mtu yeyote yule anaifahamu vizuri biashara ya nywele zinazotoka nchini China naomba anifahamishe, sina uelewa kabisa na hii biashara. Ningependa niifahamu vizuri nione kama inafaa au la. Nimepata supplier mmoja kutoka China, amesema wao wanauza kwa kilo. Ambapo nusu kilo...
  8. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

    Hauhitaji kuwa profesa kufahamu kuwa hii ni biashara ya faizafoxy......
  9. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

    Hauhitaji kuwa profesa kufahamu kuwa hii ni biashara ya faizafoxy....
  10. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

    Hauhitaji kuwa profesa kufahamu kuwa hii ni biashara ya faizafoxy..
  11. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

    Hauhitaji kuwa profesa kufahamu kuwa hii ni biashara ya faizafoxy,
  12. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

    Hauhitaji kuwa profesa kufahamu kuwa hii ni biashara ya faizafoxy
  13. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa haraka Ukonga Mombasa Dar es salaam

    Mpe pole kwa matatizo mkuu, i really feel his/her pain
  14. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania Viwanja vinauzwa bei poa Mbezi Msakuzi

    viwanda gani mkuu? hahahahaha
  15. MAKA PEN

    JamiiForums Tanzania NSSF waanza kuita watu kwa ajili ya oral interview

    hizo tetesi umezitoa wapi?
Back
Top Bottom