Viwanja vinauzwa bei poa Mbezi Msakuzi

Viwanja vinauzwa bei poa Mbezi Msakuzi

stineriga

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2012
Posts
2,172
Reaction score
892
BEI
kiwanja cha 1 miln 12

kiwanja cha 2 miln 8

kiwanja cha 3 miln 4.5

UMEME
Umeme upo nyumba tu ya jirani

BARABARA
Barabara ya gari inafika hadi kwenye kiwanja

kutoka Mbezi Mwisho.
ni km 3 au 4 kutoka mbezi mwisho
-Kwa pikipiki nauli ni tsh 2000/= tu.
-Kwa daladala mpaka msakuzi ni tsh 400 tu.

Umbali toka msakuzi hadi kiwanjani ni mwendo wa dk 15-20

MENGINEYO

Mimi ndio mwenye kiwanja,
kabla ya malipo unaruhusiwa kujiridhisha vyovyote unavyoona inafaa,

MAWASILIANO
only serious buyer call only no text 0714-345958 / 0752 858693

ukubwa wa kila kIwanja ni kama vinavyoonekana kwenye maumbo hapa chini

1. KIWANJA NO. 1 MILN 12

attachment.php


2. KIWANJA NO. 2 MILN 8
attachment.php


3. KIWANJA NO 3 MILN 4.5
attachment.php

 

Attachments

  • kiwanja 1.jpg
    kiwanja 1.jpg
    13.7 KB · Views: 1,549
  • kiwanja 2.jpg
    kiwanja 2.jpg
    13.9 KB · Views: 1,534
  • kiwanja 3.jpg
    kiwanja 3.jpg
    13 KB · Views: 1,545
Hivyo viwanda vina hati miliki inayotambuliwa na wizara ya Ardhi.
 
Duu hicho che yenye m7 kimenifurahisha sana
 
maji maji maji huko kwenu kuna shida ya maji wauzieni wenye kuhitaji bora maisha si maisha bora
 
maji maji maji huko kwenu kuna shida ya maji wauzieni wenye kuhitaji bora maisha si maisha bora

ni wapi hapa Dar es salaam hakuna shida kabisaa ya maji? kwa maana ya kutoka maji a dawasco bombani kila siku?

jirani na hapa kuna kuna bomba maji ya chumvi , pia mitandano ya dawasco "mabomba ya mchina" muda si mrefu watapitisha.

Lakini huwezi sema hununui kiwanja sababu ya shida ya maji, labda kama wewe si mwenyeji wa Tanzania.
 
ni wapi hapa Dar es salaam hakuna shida kabisaa ya maji? kwa maana ya kutoka maji a dawasco bombani kila siku?

jirani na hapa kuna kuna bomba maji ya chumvi , pia mitandano ya dawasco "mabomba ya mchina" muda si mrefu watapitisha.

Lakini huwezi sema hununui kiwanja sababu ya shida ya maji, labda kama wewe si mwenyeji wa Tanzania.
Mkuu acha kukariri mimi ni mmoja kati ya watz wachache nisiyejua shida ya maji inafananaje
 
ni wapi hapa Dar es salaam hakuna shida kabisaa ya maji? kwa maana ya kutoka maji a dawasco bombani kila siku?

jirani na hapa kuna kuna bomba maji ya chumvi , pia mitandano ya dawasco "mabomba ya mchina" muda si mrefu watapitisha.

Lakini huwezi sema hununui kiwanja sababu ya shida ya maji, labda kama wewe si mwenyeji wa Tanzania.

Siyo wanunuzi haooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom