Hofu yenu ni ya nn Lowassa ni mwanasiasa makini kwa nn hamshangai Lowassa akiwa bungeni iwe ndani au nje ya ukumbi huwa anazungukwa na watu kibao akisimama kuongea meza zitagongwa mpaka kero naomba mtulie dawa iwaingie
Lowassa bangua kichwa hawajui watamzuiaje leo Diallo anataka tuamini Naibu waziri ana maamzi zaidi ya waziri na tu muamini nani kati ya Sumaye na Diallo ni hivi mnakumbuka shuka kumekucha kuhusu shule za kata mlimlaumu Lowassa kwa kuamlisha zijengwe bila good plan UDOM mlimponda kuwa aliamrisha...
Mnyele atakuwa anatumiwa na mzee Pinda ni mfipa mwenzake tena ni shushushu wa kutupwa ana nifahamu na nina mfahamu huyu mnyele alimuua mkewe kwa kipigo hata hakufungwa
jamaaa pinda mara yakwanza hili jambo lina ibuka alikataa kuwa hakuna uharibifu wowote juzi kasema wanao husika hawazidi wa tano wewe unamwele waje kama waziri mkuu? Ni jizi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.