Wanajamvi vipi huu ushindi wa Maywether leo mbona mimi naona kama ilitakiwa iwe sare lakini waamuzi wameamua kuwa Maywether kashinda. Naomba wanaofahamu masumbwi wanidadavulie maana inachanganya.
Fitina imetumika mkuu pale hakustahili kabisa ule ushindi imetumika kubebana kwa sababu marefa wakwake na uwanja wa nyumbani
mayweather kapigwa mkuu shida marefa wote wakwao na yeye yuko kiwanja cha nyumbani