Samahani jamani, simu yangu huawei y360 ilianguka sasa kila nikijalibu kuwasha inanicommand kureboot ila nikiiboot hairudi wala haiwaki na nikiwasha inawaka na kuzima tena inawaka na kuzima nainajirudiarudia hivyo hivyo kwa hiyo naombeni msaada wenu
Habarini wakuu,
Kuna kitu huwa kinanitatiza sana,
Hivi mkiamua kutoka out na mwenzi wako halafu vitu vikaagizwa mfano chakula na vinywaji, bili ikitoka ni yupi anastahili kulipa?
Nawasilisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.