Recent content by majula v fundikila

  1. majula v fundikila

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua Tabia za wanawake wa kijita

    Masika , Omuloyo kakaba / laba Kenda omugasi wo kutwala natwalelago asige Lubeyi
  2. majula v fundikila

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa yangu alikua USAID akawa ananifungia vioo, leo kanitumia ujumbe kama nina mchongo wowote nimpasishie

    Daa imeniuma sana, huyo jamaa ajakutwa na visanga. Visa vyako kama vya kwangu yote maisha Mzee Baba , Piga moyo konde maisha yaendelee
  3. majula v fundikila

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongera Hongera Mkuu. Huwa Nina comment mara Moja Moja na Mimi nasubiria buyu la Asali
  4. majula v fundikila

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Uncle siyo uongo hiyo ni kweli written ya Social welfare Officer mwaka huu,waliopita written walichukua kuanzia 92 kwenda juu.
  5. majula v fundikila

    JamiiForums Tanzania Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Wewe tumia email Yako ya zamani nenda forget password kama nilivokuelekeza kwenye hiyo comment
  6. majula v fundikila

    JamiiForums Tanzania Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

    Nenda kwenye email yako bonyeza neno forget password .Baada ya kubongeza italuletea Type your email Pia kwa chini kuna maneno yameandikwa kwa repicha Type hayo maneno then submit ,ukisha submit watakuandikia reset password sent to your email .Baada kama dk 2 watakutumia link ya inasema...
  7. majula v fundikila

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Wewe Bwana hatari sana ila cha msingi upate kwanza namba hayo mengine yatafata Baadaye
  8. majula v fundikila

    JamiiForums Tanzania Human Rights Officer at OHCHR

    Poa tutajaribu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. majula v fundikila

    JamiiForums Tanzania Project Officer (1 Position)

    Mbona hizi nafasi hazipati comments hata moja why?
  10. majula v fundikila

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa kifafa usikilizeni redioni. Simulizi yake ni ya kutishaa!

    Pole sna kiongozi nami nilikuwa na Mama mdogo wangu naye alikufa kw a kuungua moto zamani mwaka 1996 ndo alikufa huu ugonjwa ni hatari Sana Ila ,nilisimuliwa kuwa huyu Mama mdogo alilogwa .
Back
Top Bottom