Recent content by majiyamtungi

  1. M

    Ushauri wenu huu kwa wale wanaosoma au kutarajia kusoma Masters na PhD

    Kufanikiwa kumaliza Shahada ya Uzamili na Uzamivu ni lengo kubwa na muhimu. Hapa kuna hatua muhimu za kuchukua ili kufanikisha malengo yako: 1. Chagua Kozi Inayokuvutia: Chagua shahada au programu ya uzamili inayokuvutia na inayofanana na malengo yako ya kazi na maslahi yako. Uchaguzi wa...
  2. M

    MUSIBA: Makamba ni nani katika nchi hii? hana lolote, na Hana cha kunifanya

    Kisiasa unayetuhumiwa ni jukumu lako kujitetea. January ni Mwerevu, ajitetee
  3. M

    TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

    Kuna mtu kakimbilia kuanzisha na hana taarifa yoyote mle ndani.
  4. M

    Serikali, mulika mafunzo ualimu yanayoendeshwa na ADEM

    Dr. Masanja achana na huyu, rekebisha taasisi yako, kuna mapungufu mengi, na kukutana na wafanyakazi wa taasisi yako katika hizi kazi kumenijulisha mengi, nitakusaidia inbox nimepewa contacts zako. Lkn kuna shida nyingi. Natamani hoja hii ifike mwisho
  5. M

    Serikali, mulika mafunzo ualimu yanayoendeshwa na ADEM

    Wewe nadhani unawapenda chuo chako ulichosoma na wahadhiri wake, ibaki hivo utakuwa umewasaidia, binafsi sipendi kusogea mbele lkn basis washauri wazidi kuwa bora katika uendeshaji Wa taaluma. Lkn nimeshangaa kidogo, unaona sawa ngono kati ya wahadhiri na wanafunzi wao? Wewe ni kati ya waliopewa...
  6. M

    Serikali, mulika mafunzo ualimu yanayoendeshwa na ADEM

    Tatizo lako unataka tujibizane, nimekuambia hawa watu nawafahamu, ndo maana nilikuambia usitake tuanze kuandika takataka zote za hii taasisi, kwa kiwango kikubwa wamejitahidi sasa ukitaka tuanze kuweka majina hapa hatujengi, au unataka 1. Tukutajie hao ambao marazote wamo kwenye uwezeshaji kwa...
  7. M

    Serikali, mulika mafunzo ualimu yanayoendeshwa na ADEM

    Wamejirekebisha pakubwa, vituoni kumeenda vizuri. Nyie mnaowatetea msitetee sana. Mafunzo yamefana, na tunawashukuru ADEM kwa kazi nzuri. Ila jambo moja muhimu mbeleni, fursa za kuwesha mafunzo msichukue ndugu na wapenzi wenu. Kuna malalamiko wako wakaguzi wanawake kutoka kanda ya ziwa...
  8. M

    Serikali, mulika mafunzo ualimu yanayoendeshwa na ADEM

    Kama unaweza kuwatete kiasi hiki basi huwajui. Tumeahirisha mafunzo na tunaenda mikoani. Umeanza kutaja majina ya unawafahamu. Jana ndo nimemuona huyo mkurugenzi na yako yenye ukakasi juu yake na timu yake. Inatosha kwa sasa, tuwalindie heshima kwa muda, wanafamilia zao pia, Mimi pia...
  9. M

    Serikali, mulika mafunzo ualimu yanayoendeshwa na ADEM

    Ndugu, unaonekana kuwa sehemu yao, Abdulahman amekujibu lkn naona umekomaa. Hata hivo maboresho Kidogo yameonekana, waboreshe zaidi, na hasa sasa nidhamu zao kwa walimu huko mikoani. Tuko pamoja.
  10. M

    Serikali, mulika mafunzo ualimu yanayoendeshwa na ADEM

    Sawa, basi ili mjue sio dagaa na mnatunisha misuli tutayafuatilia haya mafunzo kama ya wenzenu Taasisi ya Elimu Tanzania hadi mkapewa nyie, walikuwa na kibri kama hili. Sisi ni watumishi wa umma, tunaheshimu taasisi za umma na lkn tunapiacha keheshimiwa na kupewa dharau sio sawa. Serikali...
  11. M

    Serikali, mulika mafunzo ualimu yanayoendeshwa na ADEM

    Ni chuo cha uongozi wa Elimu kiko Bagamoyo Mwanza na mbeya
  12. M

    Serikali, mulika mafunzo ualimu yanayoendeshwa na ADEM

    Rekebisheni, tunaipenda taasisi yetu, tunahistoria nayo, au unataka tuseme zaidi? Tunawajua in and out.
  13. M

    Serikali, mulika mafunzo ualimu yanayoendeshwa na ADEM

    Tumeitwa kutoka wilaya zetu Tumeanza mafunzo Leo morogoro na tumeambiwa kuwa yatafanyika katika mikoa 10 1. Bado hayaeleweki yanalenga nini na ni ya Siku Tatu, hadi jioni haijaeleweka 2. Malipo ya kujikimu hayana ufafanuzi mzuri, na maelezo yao ukiyasikia yana shida 3. Chakula kibovu hadi...
Back
Top Bottom