kwa hali ilivyo kwa sasa policeccm wako bize na chadema.ninatabiri matukio mengi ya uhalifu yatatolea kwa wingi.kinachofurahisha hata hawajui kuwa wanapokuwa wanatutawanya ndo ujumbe unafika.
hata kama ni uteuzi sola na jenereta viko on.vipi ww ulijitokeza kugombea kama unaona ni uteuzi?uzembe wa kufikiria hadi aibu.niambie kinana.nape.mangura.migiro.mwiguru.nafasi zao walizonazo walishindana na nani?
leo lazima tuangalie uchaguzi wa chama dume chadema kikifanya uchaguzi.kwa kuwa ccm mmezoea kuzima umeme kwangu leo hamuambulii kitu.sola ikizengua nawasha jenereta
imekula kwenu na roho zenu za kutu.
Pinda aliwambia zanzibar si nchi na hili limejidhirisha leo Rage kawajibu hawezi kuwa wanachama wa FIFA kwani hawatambuliwi UN.
Wanaotambuliwa ni Tanganyika ambao hakuna ubishi ndo wamejivika koti la TANZANIA na Muungano.
Katiba ya Zanzibar inasema Zanzibar ni nchi.Napenda niwaambie hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.