Sio mwaminifu kihivyo ila the isue anasema walivyokubaliana tangia wanaanza relationshp yao ni kwamba atakayemsaliti mwenzie na ikafahamika basi wanaachana so yeye kamkamata mpnz wake na kiukweli anasema its difficult to 4get what have happend.
Natumaini mwaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku..
Kuna ndugu yangu amesalitiwa na mpnz wake wake wa kike(girlfriend),ana uhakika 100% kwamba amesalitiwa na huyo gal wake kakubali. Huyo gal wake kamuomba msamaha na akasema kilichotokea ilikua bahati mbaya na anaomba 2nd chance waendelee...
Ndungu zangu wana JF,St. Mathew Secondary ni moja ya shule zilizo na sifa kubwa jijini Dar es salaam lakini vilevile ni shule ambayo ina mafisadi kupita kiasi kwa wale wenye ndugu zao wanosoma pale wanalitambua hilo. Imagine mwanafunzi aliyehitimu kidato cha nne au cha sita anaambiwa atoe Tsh...
Hii serikali ishauzwa kilichobaki kugawana 2.. Wenye uwezo wa kujilipia wanapewa mkopo wasio na uwezo hawapewi.
Ha2na serikali hapa,bora wagome 2 hop mambo yao yatata2liwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.