Recent content by Majighu

  1. M

    Unfaithfull!!!!!!!

    so hafai huyo sio.. nimekusoma mkuu
  2. M

    Unfaithfull!!!!!!!

    Sio mwaminifu kihivyo ila the isue anasema walivyokubaliana tangia wanaanza relationshp yao ni kwamba atakayemsaliti mwenzie na ikafahamika basi wanaachana so yeye kamkamata mpnz wake na kiukweli anasema its difficult to 4get what have happend.
  3. M

    Unfaithfull!!!!!!!

    Natumaini mwaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku.. Kuna ndugu yangu amesalitiwa na mpnz wake wake wa kike(girlfriend),ana uhakika 100% kwamba amesalitiwa na huyo gal wake kakubali. Huyo gal wake kamuomba msamaha na akasema kilichotokea ilikua bahati mbaya na anaomba 2nd chance waendelee...
  4. M

    Wana JF je hii ni haki kwa waliohitimu ST. MATHEW SEC??

    Ndungu zangu wana JF,St. Mathew Secondary ni moja ya shule zilizo na sifa kubwa jijini Dar es salaam lakini vilevile ni shule ambayo ina mafisadi kupita kiasi kwa wale wenye ndugu zao wanosoma pale wanalitambua hilo. Imagine mwanafunzi aliyehitimu kidato cha nne au cha sita anaambiwa atoe Tsh...
  5. M

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Jamani wana JF kwa wale ambao mmeshasikia au mmeenda kwa babu Loliondo,je babu anatibu vidonda vya tumbo?? Nna tatizo hilo.. Pa1 wakuu
  6. M

    Jamani huyu model Jenipher kama kashushwa

    Mtoto mrembo balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
  7. M

    Makumira University kumekucha!

    Hii serikali ishauzwa kilichobaki kugawana 2.. Wenye uwezo wa kujilipia wanapewa mkopo wasio na uwezo hawapewi. Ha2na serikali hapa,bora wagome 2 hop mambo yao yatata2liwa
  8. M

    Tido Mhando atemwa TBC

    bora kasepa mana nae alikua anazingua tu..
Back
Top Bottom