Hilo tank ni mashine mkuu ndani ya hilo tank kunakuwa kuna maji chumvi na evaporator coil zinazoleta ubaridi kwanini wanaweka chumbi kwenye hayo maji wanaweka chumvi kushusha joto la maji huwa linashuka mpaka-7Centrigrade joto la maji linapokua limeshuka namna hiyo ukiweka vile vikopo(mould)...
Wakuu habari za humu ndani kama kichwa kinavyojieleza hapo wale waliowahi kumiliki pikipiki. Ana ya shineray tupeni uzoefu wenu kuanzia changamoto zake ,ulaji wa mafuta, uoatikanaji wa spare zake.
Nawasilisha
Walimu wanakatabia kao fulani ka kulana walimu kwa walimu wa ofisi moja wanakulana sana.
140000 ni pesa ndefu ukiamua kujinyima utaangaika mwanzo tu lakini utakaa sawa subiri mwisho picha linaisha anakuja kulala na mwanaume wake ndani .
Mapenzi kuchuja hio ni kawaida kabisa kiongozi hayawezi kuwa sawa sawa kwa kipimo kilekile
Kuna wakati mapenzi yanazidi hata zaidi ya mwanzo na kuna wakati chuki inatokea unajikuta umpendi tu yule uliyekuwa ukimpenda mwanzo na kuna wakati mapenzi huwa kawaida tu kuna wakati yanazidi tena...
Kingono Mwanaume ni MASTER WA NGONO ni kama bomu ni rahisi kupata JOTO na HARAKA SANA kulipuka .
Kihisia Mwanamke ni MASTER WA HISIA ni rahisi kupata joto na rahisi sana kulipuka
Kingono MWANAMKE Ni kama maji yanachukua muda kupata JOTO LAKINI YAKIISHAPATA JOTO YANACHUKUA MUDA MREFU KUPOA...
Kuzirepress ngono energy ni tatizo kubwa sana japo tamaduni jamii ,makanisa vimekua vikiona hii kitu ngono kama dhambi kubwa sana we check india rate ya ubakaji ilivyo juu energy hii ya ngono unavojitahidi kuizuia ndivyo inavyoleta balaa unaweza fanyaa maafa makubwa visilani visivyoisha kwamaana...
Katika Taoism lengo kuu la kumwaga manii ni kwaajiri ya kuzaliana pekee la sivyo inatakiwa ufanye sex lakini usipiiz na hiyo yane umgonge mkeo na usimwage kojo na wanambinu za kucontrol ejaculation hii ilianza karne hizo nanilibaki siri kwa watu wachache tu.
Hao paka wa Scrodinger nimewasoma nakuwasoma nimerudia labda huyu jamaa Scrodinger alikua jambazi katega paka na bomu kawapelekea fbi kama mtego wapi nimetoka kapa naona paka tu anazunguka zunguka na Atoms [emoji23][emoji16] Physics bana mtihani sana.
Sent from kijijini kijiji cha quantum pakasm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.