Recent content by Majan

  1. Majan

    Mke wangu karudi kwenye dini yake

    Upo vizur Aaliyyah Ipo ndoa yamtu wangu wakaribu imevunjika hivi karibuni..alipoenda kwa viongozi wa dini alipewa jibu hilo kuwa hiyo ndoa ilishavunjika tangu siku huyo mwanamke aliporudi kwene dini yake kwaiyo walikuwa wanaishi kama wazinzi tu.
  2. Majan

    Kesho naagiza simu original China kama unataka kuagiza?

    Ukiagiza inafika baada ya muda gani.?
  3. Majan

    Jina gani la mchezaji huwa linakuvutia pale linapotamkwa?

    Sharaf Al-Adin Abdallahman Shibobo
  4. Majan

    Matumizi ya dawa za palizi!

    UGOKO (Katikati yakifundo cha mguu na goti)
  5. Majan

    Matumizi ya dawa za palizi!

    Hizi dawa zapalizi huku nyanda zajuu tunaziita CHAMBUA sasa hizi chambua zipo tofauti yan CHAMBUA ya mahindi ukipiga kwene maharage au viazi vinakauka and vice versa kwahiyo epuka kutumia CHAMBUA shamba ambalo umelima kilimo mseto mfano umechanganya mahindi na maharage
  6. Majan

    Matumizi ya dawa za palizi!

    Kwene mahindi unapiga yakiwa madogo hadi katika levo ya maji ya ugoko hapo utakuta hata magugu yake bado mateke mateke .lakini yakishakuwa makubwa levo yakukaribia kutoa mbelewele nakuendelea hapo tumia tu GALAMAXSON kuna mdau hapo juu amesema LAUNDAP kwamimi naona laundap sio nzuri katika...
  7. Majan

    Matumizi ya dawa za palizi!

    Dawa hizi zikipulizwa magugu yakiwa machanga ndio ufanisi utauona lkn magugu yakishakomaa hazifanyi kazi
  8. Majan

    Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

    Tuendelee hata epsodes 5 we shusha tu bila kuacha kipengele
  9. Majan

    Kichekesho juu ya kinachoitwa SGR nchini tumepigwa zaidi ya bilioni 500

    Samahani wakuu ivi ile treni ya DAR- MOSHI bado inaendelea nasafari zake.?
  10. Majan

    Je, inawezekana kuchaji battery za solar kwa umeme wa Tanesco?

    Ngoja namimi niweke kambi hapa,pia nimesikia kuna betri zinazotumika kwenye minara yasimu nazo zipo vzr zinapatikana huko kariakoo zipo hadi za N500 ebu wajuzi watujuze
  11. Majan

    Nakaribia kudhulumiwa, naombeni ushauri

    Nenda hapo Upanga kama ulivyoshauriwa ukiwa na kopi ya nyaraka zote muhimu zitakazokusaidia ktk mdai yako, muhimu majina yake matatu,hao wanaokushauri umsubiri arudi vp kama anajiandaa kwenda zake nje ya nchi kwamwaka mzima. Pia naomba kuuliza je haishi nafamilia ambayo ingekusaidia kujua kambi yake
  12. Majan

    Mikoa 8 kukumbwa na Mvua kubwa kwa siku 5 kuanzia Januari 30, 2024

    Mzigo umeanza leo yan umegonga asubuhi namapema thn ukatulia watu waende makazini najioni hii tena imegonga hevy yakuwarudisha watu majumbani
  13. Majan

    Yani naamka asubuhi hii nakuta TANESCO washafanya yao

    Duh nilizani nihapa nilipo tu ndo wamepita nao asubuh asubuhi kumbe tupo wengi
Back
Top Bottom