Duh 4,670Tsh. kwani izi exchange rates zipoje watalam,namimi nikiingia Google kuchange iyo Mk6672 inaniletea 10,059Tsh.napia kuna makala niliisoma mtandaoni juzi ilikuwa inasema malawi ni nchi ya pili kama sio yatatu kwa bei kubwa yamafuta duniani
Ila kama nauli zitapanda haitakuwa sawa mana kipindi nauli mpya zinatangazwa nikipindi ambacho mafuta yalifika 3500sh/Lt kama sikosei na yakaja yakashuka lakini nauli hazijashuka
Hawa jamaa hesabu zao zinaumiza chief..
Mwaka 2023 sumsung A04e Gb 64 walikuwa wanatoa kwa kianzio cha 90,000Tsh kisha unarejesha 12,000 kwa wiki ambayo nisawa na 1715 kwa siku..so 715×350=617400..
Sasa iyo 617000+90000=707000 simu ambayo cash inauzwa 250,000
kiongozi anaerudi madarakani(AP Mutharika) nae age go.! 85 yrs ..nimeona kuna jamaa wa zimbabwe anawasifu wamalawi pia anawananga kwamba walishindwa kuangalia mwenye nguvu kidogo,..akasema huyu Peter Mutharika anataka nae afie ofisini kama kaka yake Bingu wa Mutharika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.