Upo vizur Aaliyyah Ipo ndoa yamtu wangu wakaribu imevunjika hivi karibuni..alipoenda kwa viongozi wa dini alipewa jibu hilo kuwa hiyo ndoa ilishavunjika tangu siku huyo mwanamke aliporudi kwene dini yake kwaiyo walikuwa wanaishi kama wazinzi tu.
Hizi dawa zapalizi huku nyanda zajuu tunaziita CHAMBUA sasa hizi chambua zipo tofauti yan CHAMBUA ya mahindi ukipiga kwene maharage au viazi vinakauka and vice versa kwahiyo epuka kutumia CHAMBUA shamba ambalo umelima kilimo mseto mfano umechanganya mahindi na maharage
Kwene mahindi unapiga yakiwa madogo hadi katika levo ya maji ya ugoko hapo utakuta hata magugu yake bado mateke mateke .lakini yakishakuwa makubwa levo yakukaribia kutoa mbelewele nakuendelea hapo tumia tu GALAMAXSON kuna mdau hapo juu amesema LAUNDAP kwamimi naona laundap sio nzuri katika...
Ngoja namimi niweke kambi hapa,pia nimesikia kuna betri zinazotumika kwenye minara yasimu nazo zipo vzr zinapatikana huko kariakoo zipo hadi za N500 ebu wajuzi watujuze
Nenda hapo Upanga kama ulivyoshauriwa ukiwa na kopi ya nyaraka zote muhimu zitakazokusaidia ktk mdai yako, muhimu majina yake matatu,hao wanaokushauri umsubiri arudi vp kama anajiandaa kwenda zake nje ya nchi kwamwaka mzima.
Pia naomba kuuliza je haishi nafamilia ambayo ingekusaidia kujua kambi yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.