Mwaka huu parachichi zimeisha mitini zote kwa pamoja zakisasa na kienyeji maranyingi huwa zinapokezana zinapoisha zakienyeji unakuta ndio zakisasa zinaanza,,Mbeya sasaiv parachichi lajero kama lakuonjeshwa ,lamiasaba ndio kidogo zuri tena nihaya yakisasa ,ukikuta lakienyeji ambayo maranyingi...
Sawa kabisa,Kuna kadi yangu ilivunjika ikiwa na mwezi tu tangu nirenew nikasema siombi kadi mpya ikawa nimwendo wakugusisha tu lkn kuna tawi ilo nilikuwa nikienda nagusisha mpaka nakandamiza lakini haisomi
Kwasasa shule zaserikali zimeamua kujipambanua kupandisha ufaulu na katika hatua wanazochukua moja wapo niwatoto kupata mlo wamchana shuleni,mitihani yakujipima kila wiki namasomo yaziada.ila hapo kwene mchele kilo 10 na maharage kilo 7 nikwamwezi ama..kijijini kwangu kama huna maharage,chenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.