Recent content by Majan

  1. Majan

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje parachichi tunauziwa bei kubwa hivi?

    Mwaka huu parachichi zimeisha mitini zote kwa pamoja zakisasa na kienyeji maranyingi huwa zinapokezana zinapoisha zakienyeji unakuta ndio zakisasa zinaanza,,Mbeya sasaiv parachichi lajero kama lakuonjeshwa ,lamiasaba ndio kidogo zuri tena nihaya yakisasa ,ukikuta lakienyeji ambayo maranyingi...
  2. Majan

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaotumia ATM machine kutoa pesa bado hawajui huduma ya kugusa kadi (NFC Reader) kutoa pesa wamezoea njia ya kuchomeka kadi

    Sawa kabisa,Kuna kadi yangu ilivunjika ikiwa na mwezi tu tangu nirenew nikasema siombi kadi mpya ikawa nimwendo wakugusisha tu lkn kuna tawi ilo nilikuwa nikienda nagusisha mpaka nakandamiza lakini haisomi
  3. Majan

    JamiiForums Tanzania PIKIPIKI YA SIMORAY 250 ADV

    Kuna uzi humu wa ndugu Dit000 jaribu kuupitia
  4. Majan

    JamiiForums Tanzania Nimenunua bodaboda aina ya Sinoray 250 ADV. Nawezaje kuifanya kuwa stable?

    Asante kwa mrejesho,utawasaidia wengine katika kufanya maamuzi/machaguzi
  5. Majan

    JamiiForums Tanzania Aliyedukua tovuti ya Chuo Kikuu aitwa akasome bure

    Hatuendelezi vipaji
  6. Majan

    JamiiForums Tanzania KERO Shule ya Msingi VETA, Mbeya inatoza wanafunzi michango na vyakula

    Kwasasa shule zaserikali zimeamua kujipambanua kupandisha ufaulu na katika hatua wanazochukua moja wapo niwatoto kupata mlo wamchana shuleni,mitihani yakujipima kila wiki namasomo yaziada.ila hapo kwene mchele kilo 10 na maharage kilo 7 nikwamwezi ama..kijijini kwangu kama huna maharage,chenga...
  7. Majan

    JamiiForums Tanzania Mmiliki wa mabasi ya katarama kuwa makini sana

    Mzee wewe huwezi kuwa mnazi ila ni mhusika kabisa wa KT asante sana kwa kushare nasi some deep details
  8. Majan

    JamiiForums Tanzania Kwanini nyumba zinazopauliwa kwa mabati mfano wa vigae ni chache sana?

    Kuna fundi aliniambia yanatumia mbao nyingi katika kupau kuliko mabati yakawaida
  9. Majan

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mafuta Nchi Mbalimbali Mwezi April: Libya Tsh 61/= wakati Malawi Tsh 9,995=

    Duh 4,670Tsh. kwani izi exchange rates zipoje watalam,namimi nikiingia Google kuchange iyo Mk6672 inaniletea 10,059Tsh.napia kuna makala niliisoma mtandaoni juzi ilikuwa inasema malawi ni nchi ya pili kama sio yatatu kwa bei kubwa yamafuta duniani
  10. Majan

    JamiiForums Tanzania Njooni Tujichange Twende Tanga Tujenge Kiwanda Cha Kusafisha Mafuta Ghafi (Petroleum Refinery). Mafuta tutanunua Uganda

    Duh ivi kumbe yale mafuta toka Uganda yanachimbwa uganda ,minilijua nibomba tu kama TAZAMA
  11. Majan

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anakaa siku 5 hapati choo kikubwa

    Ngoja wajuzi waje ,lkn je mmefanya matibabu gani hadi sasa eidha ya tiba asili au hospital
  12. Majan

    JamiiForums Tanzania Mafuta yanaenda kupanda Hadi 3,500/= Kwa Lita. Kwa magari yenye CC kubwa, kazi itakuwepo

    Ila kama nauli zitapanda haitakuwa sawa mana kipindi nauli mpya zinatangazwa nikipindi ambacho mafuta yalifika 3500sh/Lt kama sikosei na yakaja yakashuka lakini nauli hazijashuka
  13. Majan

    JamiiForums Tanzania Simu za Mikopo Scheme Mpya za Utapeli

    Hawa jamaa hesabu zao zinaumiza chief.. Mwaka 2023 sumsung A04e Gb 64 walikuwa wanatoa kwa kianzio cha 90,000Tsh kisha unarejesha 12,000 kwa wiki ambayo nisawa na 1715 kwa siku..so 715×350=617400.. Sasa iyo 617000+90000=707000 simu ambayo cash inauzwa 250,000
Back
Top Bottom