Recent content by Majan

  1. Majan

    Simu za Mikopo Scheme Mpya za Utapeli

    Hawa jamaa hesabu zao zinaumiza chief.. Mwaka 2023 sumsung A04e Gb 64 walikuwa wanatoa kwa kianzio cha 90,000Tsh kisha unarejesha 12,000 kwa wiki ambayo nisawa na 1715 kwa siku..so 715×350=617400.. Sasa iyo 617000+90000=707000 simu ambayo cash inauzwa 250,000
  2. Majan

    Wauza kitimoto wasajiliwe Halmashauri

    Kwakuongezea tu,kwasasa kuna ugonjwa wa kitimoto katika baadhi ya maeneo Mbeya,mlaji ongeza umakini
  3. Majan

    Wapi nitapata matibabu ya tonsils sugu?

    Habari mkuu naomba kujua uliwatibu watoto kwa njia gani ,nami pia mtoto anashida hii hadi sasa amelazwa hospitali anadungwa sindano lakini bado
  4. Majan

    Nimeibiwa Xiaomi 12T Pro nikanunua Google Pixel 7A

    Nice Dude! Sharing is caring.. Gharama za hizo simu zote mbili zipoje?
  5. Majan

    KERO Watumishi ngazi ya chini TANAPA tuna hali ngumu; kipato hakitoshi!

    😀 maajaabu hayajawahi kuisha,majaji wenyewe wameomba kuongezewa😀
  6. Majan

    Hivi wenzetu mnaoweka status WhatsApp mnafaidika nini? Mna utoto mwingi sana

    Hahaaa mpaka unatamani asijue kama umeona
  7. Majan

    Kwa mwenye kufahamu kinacho endelea ujenzi wa barabara jijini Mbeya

    Minaona Kwasasa wanadili zaidi na kujenga madaraja
  8. Majan

    Mafuta gani ya kupikia yametengewa tsh 30k kwa kila lita katika bajeti hii? Yanapatikana wapi?

    Kwene ground mambo nitofauti sana mzee,watu wanatoa sio kwamba wanapenda ila ni vile tu mambo yao yaende
  9. Majan

    Afrika inaamka sasa; Malawi, Rais Chakwera ameshindwa kura za Urais baada ya mhula mmoja tu madarakani

    kiongozi anaerudi madarakani(AP Mutharika) nae age go.! 85 yrs ..nimeona kuna jamaa wa zimbabwe anawasifu wamalawi pia anawananga kwamba walishindwa kuangalia mwenye nguvu kidogo,..akasema huyu Peter Mutharika anataka nae afie ofisini kama kaka yake Bingu wa Mutharika
  10. Majan

    Nani anajua matumizi ya hili tundu kwenye kisu au Visu

    Hilo tundu nikwaajili yakuning'inizia hiko kisu sehemu yenye msumari
  11. Majan

    Mwanzoni nilifikiri ni Utani, ikageuka Kero na Sasa nimegundua ni kweli Na kuukubali

    Hahaa kuna mwanangu uyo ukimuona amewaka ukamsifia "Aah shehe leo umewaka" anajibu "Aah mambo ya mama Dida ayo ananunua nguo alafu anazificha" yani mkewe kuna pamba anafanya kuzificha mana akiziweka wazi zote mjomba yeye hajali anasalambagila zote alafu akipata mtoko wamaana inakuwa aibu
  12. Majan

    Mtoto wa marehemu John Komba amshauri mtoto wa Ndugai... CCM sikieni

    Kudos dude.! Umemaliza kila kitu
Back
Top Bottom