Recent content by Majan

  1. Majan

    JamiiForums Tanzania Mmiliki wa mabasi ya katarama kuwa makini sana

    Mzee wewe huwezi kuwa mnazi ila ni mhusika kabisa wa KT asante sana kwa kushare nasi some deep details
  2. Majan

    JamiiForums Tanzania Kwanini nyumba zinazopauliwa kwa mabati mfano wa vigae ni chache sana?

    Kuna fundi aliniambia yanatumia mbao nyingi katika kupau kuliko mabati yakawaida
  3. Majan

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mafuta Nchi Mbalimbali Mwezi April: Libya Tsh 61/= wakati Malawi Tsh 9,995=

    Duh 4,670Tsh. kwani izi exchange rates zipoje watalam,namimi nikiingia Google kuchange iyo Mk6672 inaniletea 10,059Tsh.napia kuna makala niliisoma mtandaoni juzi ilikuwa inasema malawi ni nchi ya pili kama sio yatatu kwa bei kubwa yamafuta duniani
  4. Majan

    JamiiForums Tanzania Njooni Tujichange Twende Tanga Tujenge Kiwanda Cha Kusafisha Mafuta Ghafi (Petroleum Refinery). Mafuta tutanunua Uganda

    Duh ivi kumbe yale mafuta toka Uganda yanachimbwa uganda ,minilijua nibomba tu kama TAZAMA
  5. Majan

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anakaa siku 5 hapati choo kikubwa

    Ngoja wajuzi waje ,lkn je mmefanya matibabu gani hadi sasa eidha ya tiba asili au hospital
  6. Majan

    JamiiForums Tanzania Mafuta yanaenda kupanda Hadi 3,500/= Kwa Lita. Kwa magari yenye CC kubwa, kazi itakuwepo

    Ila kama nauli zitapanda haitakuwa sawa mana kipindi nauli mpya zinatangazwa nikipindi ambacho mafuta yalifika 3500sh/Lt kama sikosei na yakaja yakashuka lakini nauli hazijashuka
  7. Majan

    JamiiForums Tanzania Simu za Mikopo Scheme Mpya za Utapeli

    Hawa jamaa hesabu zao zinaumiza chief.. Mwaka 2023 sumsung A04e Gb 64 walikuwa wanatoa kwa kianzio cha 90,000Tsh kisha unarejesha 12,000 kwa wiki ambayo nisawa na 1715 kwa siku..so 715×350=617400.. Sasa iyo 617000+90000=707000 simu ambayo cash inauzwa 250,000
  8. Majan

    JamiiForums Tanzania Wauza kitimoto wasajiliwe Halmashauri

    Kwakuongezea tu,kwasasa kuna ugonjwa wa kitimoto katika baadhi ya maeneo Mbeya,mlaji ongeza umakini
  9. Majan

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata matibabu ya tonsils sugu?

    Habari mkuu naomba kujua uliwatibu watoto kwa njia gani ,nami pia mtoto anashida hii hadi sasa amelazwa hospitali anadungwa sindano lakini bado
  10. Majan

    JamiiForums Tanzania Nimeibiwa Xiaomi 12T Pro nikanunua Google Pixel 7A

    Nice Dude! Sharing is caring.. Gharama za hizo simu zote mbili zipoje?
  11. Majan

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi ngazi ya chini TANAPA tuna hali ngumu; kipato hakitoshi!

    😀 maajaabu hayajawahi kuisha,majaji wenyewe wameomba kuongezewa😀
  12. Majan

    JamiiForums Tanzania Hivi wenzetu mnaoweka status WhatsApp mnafaidika nini? Mna utoto mwingi sana

    Hahaaa mpaka unatamani asijue kama umeona
  13. Majan

    JamiiForums Tanzania Kwa mwenye kufahamu kinacho endelea ujenzi wa barabara jijini Mbeya

    Minaona Kwasasa wanadili zaidi na kujenga madaraja
  14. Majan

    JamiiForums Tanzania Mafuta gani ya kupikia yametengewa tsh 30k kwa kila lita katika bajeti hii? Yanapatikana wapi?

    Kwene ground mambo nitofauti sana mzee,watu wanatoa sio kwamba wanapenda ila ni vile tu mambo yao yaende
  15. Majan

    JamiiForums Tanzania Afrika inaamka sasa; Malawi, Rais Chakwera ameshindwa kura za Urais baada ya mhula mmoja tu madarakani

    kiongozi anaerudi madarakani(AP Mutharika) nae age go.! 85 yrs ..nimeona kuna jamaa wa zimbabwe anawasifu wamalawi pia anawananga kwamba walishindwa kuangalia mwenye nguvu kidogo,..akasema huyu Peter Mutharika anataka nae afie ofisini kama kaka yake Bingu wa Mutharika
Back
Top Bottom