Recent content by maiwa

  1. M

    Wasomi wa SUA washindwa kujieleza kwa kimombo!

    Kumbe majibu unayo, sasa unashangaa nini? hao watoto wa masikini wametoka mbali sana mpaka kufika SUA, na kilichowapa nafasi si kiingereza ni uwezo wao kitaaluma. Mwenyezi Mungu si mbaguzi km binadamu waliowanyima shule bora. Watafika tu Inshaalah!
  2. M

    Wasomi wa SUA washindwa kujieleza kwa kimombo!

    Kumbe majibu unayo, sasa unashangaa nini? hao watoto wa masikini wametoka mbali sana mpaka kufika SUA, na kilichowapa nafasi si kiingereza ni uwezo wao kitaaluma. Mwenyezi Mungu si mbaguzi km binadamu waliowanyima shule bora. Watafika tu Inshaalah!
  3. M

    Tungekuwa Bongo tunabeba boksi mngetucheka, leo tunabeba boksi ughaibuni mnatunyima uraia...

    Sasa hapo unachekelea nini? unakuwa km familia ya nanihii! kukenua hata bila sababu!
  4. M

    Tungekuwa Bongo tunabeba boksi mngetucheka, leo tunabeba boksi ughaibuni mnatunyima uraia...

    Umenikuna. Mtu ameng'ang'ania ulaya, US miaka nenda rudi eti anatafuta maisha! sasa kama unazeekea huko bado hujayapata, unaamini ukiyapata utayatumia lini? Nafikiri kwa wale wazawa wa TZ serikali ingewafikiria angalau iweke ukomo wa kuishi nje, mfn miaka 10 au 15, zaidi ya hapo ndio ufutiwe...
  5. M

    TANZIA: Mh. Mwigulu afiwa na Kaka yake

    Mmh, kumbe inawezekana kuvaa gwanda kabla ya kuvua gamba!
  6. M

    Kodi ya RAV 4 ya 2005

    Au aidabo mara tatu kabisa amalize mchezo.
  7. M

    KAWAMBWA.Shule za serikali zinachukua wanafunzi makapi.

    Hiyo filamu ni tragedy, badala ya kuwaandaa wafaulu wanabebwabebwa tu kwa kushusha viwango vya ufaulu ili wasonge mbele ndio matokeo yake wanaitwa makapi. Hiyo ndiyo BRN? Mimi nasubiri tu watakapobebwa hadi chuo na kuanza kula madisco ya kumwaga labda ndio tutapata akili ya kuipanga vizuri BRN.
  8. M

    Mengi ndani ya kanzu na bhagharashia

    Waone, hata hawafananii, sura zao zipo tofauti, zimekunjuka, zina nuru, hazina hata dalili ya unafiki!.
  9. M

    Mavazi ya kanisani balaaa...

    Mada inazungumzia 'mavazi ya kanisani' kwa hiyo madai yake ni kuwa hao pichani walikuwa kanisani? halafu anapozungumzia 'mavazi ya kanisani' anamaana kuna dress code ya kanisani? Ninavyojua km mkristo, na kwa kuzunguka kwangu makanisa yooote yanasisitiza vazi lolote la heshima baasii!. Kwa hiyo...
  10. M

    Kodi za line ya sim za mikononi zingesaidia

    Usinichekeshe, kwani kodi ya simu ingekuwa na maumivu tofauti na tunayoyapata kwenye kodi nyingine ambazo tayari tumekuwa tukizilipa? Hatutaki kusikia kodi zaidi kwa sababu hata tunazozilipa hatuoni manufaa yaakee, fullstop
  11. M

    Edward Lowassa atangaza rasmi mbio zake za urais 2015...

    Yes, nia anayo na uwezo anao unaozidi hata wa.........Mimi namtakia kila la kheri Laibon.:drama:
  12. M

    Nina laki 2 nataka kununua gari.Ushauri unahitajika!!

    Au mimi ndio sijaelewa! mbona vigari hivi (toy) hata elfu kumi haifiki? laki mbili yote hiyo? au unahitaji vingi upeleke msaada kituo cha kulea watoto nawewe ukapigwe picha umewasaidia watoto ya..ma?
  13. M

    Tanganyika yetu hiyo yarudi kwa kishindo

    Am so excited to see it, hebu mchakato uharakishwe, duh!
  14. M

    Salaam za Christmas 2013 za Askofu Kakobe

    Eeh, nilianza kusikiliza kama utani tangu saa sita usiku nimejikuta nanogewa hadi saa nane na madakika ndio nalala. Kiongozi huyu wa kanisa ameongea jamani, mambo yote aliyoongelewa ndio haswaaa kero ya watanzania walio wengi hasa ambao hatuko kwenye uongozi serikalini, yanatukera mnoo, hatuna...
Back
Top Bottom