Recent content by maishamagumutanzania

  1. M

    Nyalandu atangaza nia urais 2015

    lol JK kaifanya ikulu ionekane kama toilet kila mtu anataka kwenda ikulu. hata huyu?
  2. M

    Tatizo la akina Dada kutoolewa

    umegundua rafiki anachezewa rafu mchana kweupe?
  3. M

    Mbona Huwa Vigumu Kwa Mwanamume Kusifu Mwanamume Mwenzake Kama Ni Handsome?

    Duh wondres will never end. umsifie mwanaume mwenzio kwa uzuri hee1 haya we mzuri
  4. M

    Jinsi ya kupata mume wa maana, mwenye maisha mazuri Bongo hii

    wewe utakuwa wyf material tu kama sioksei
  5. M

    Jinsi ya kupata mume wa maana, mwenye maisha mazuri Bongo hii

    hahahaha hilo jinatu everthing is shipshape
  6. M

    Jinsi ya kupata mume wa maana, mwenye maisha mazuri Bongo hii

    kwa hiyo khantwe unanishauri ni badil jina nitakuwa najiroga mwenyewe eeeh?
  7. M

    Jinsi ya kupata mume wa maana, mwenye maisha mazuri Bongo hii

    kweli kabisa sijui ndo foolish age au adolscence, mi simo
  8. M

    Mwanamke kutongozwa ni lazima, tunawashangaa wanaotoa majibu ya matusi

    hiyo yakupiga magoti mkuu utasababisha idadi ya wanaume iendelee kupungua, ukikutana naye tongoza akizingua achana naye usizinguliwe na ka mama kamoja tu wakati wanawake ni wengi kuliko hata wanaume, unaenda kutafuta mtoto mkali kuliko yeye halafu unakatiza anga zake na mtoto akafe na wivu...
  9. M

    University of Dar es Salaaam: Mtambo wa kuzalisha wahujumu uchumi na mafisadi Tanzania

    Watu waoga na dhaifu siku zote hutafuta pakujificha ameona kachuo kake hakana legacy kam ya UDSM kaja kumimina matusi hapa atabadilika tu najua anasubuliwa na foolish age in academic ukipata kile wana UDSM wanakiita INTELLECTUAL MATURITY hautayasema haya kwa sababu utadhalilisha taaluma yako...
  10. M

    ATM za crdb!!

    mimi tayari nimeshaaibika nimetembelea ATM tatu tofauti hazitoi pesa bali zinatoa ujumbe sorry service unavailable tatizo nini sijui
  11. M

    Zijue sababu za wanaume, kupendelea wanawake wenye umri mdogo

    mahusiano ya kimapenzi ni kitu kinacho changanya sana hata ukileta theory gani itakuwa disapproved muda wowote kwa sababu mapenzi ni subjective issue and not objective kama vilaza wengi wanavyoyachukulia
  12. M

    Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

    duh ngoja nijitahid kuchangia naona sipo kwenye list. mwakani nadhani nitakuwemo na mimi
  13. M

    Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

    1 the summons john grisham 2 the chambers john grisham 3 33 concise strategy of war jina limenitoka kidogo, 4 Re-membering Africa by WATHIONG'O 5 Why nations fail. 6. Dead Aid by Dambisa moyo 7. just a matter of time by james hadley chase 8. The things men do by james hadley chase 9 The guilty...
  14. M

    Zawadi nzuri kwa mpenzi/mwenzi wako

    a kissssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss
  15. M

    Nani anafaa Kujaza nafasi za Mawaziri walio wajibishwa?

    mh jamaa aliteuliwa kuongoza commission ya bodi ya mikopo kwa wanafunzi baada ya migomo na migomo ikaisha ila naona siku hizi bodi ya mikopo wamepanda tena mbegu ya migomo ipo siku wataivuna tena time will tell
Back
Top Bottom