Recent content by Maisha+

  1. Maisha+

    Utata kifo cha Afisa Usalama Kijitonyama

    No doubts, walikuwa wanafuta ushahidi!
  2. Maisha+

    Maxence (baada ya ajali ya gari): Ahsante Mungu, ahsante watanzania!

    Praise the Lord! Tunawaombea afya njema mpone haraka na kurudi katika shughuli zenu za kila siku. God loves u so much!
  3. Maisha+

    Siri za Mwigulu Nchemba kutengeneza kesi feki dhidi ya Dr Kitila Mkumbo na Mwita M. waitara zavuja

    Wewe ndio mbulula kabisa! Upeo wako mdogo mno wa kupambanua issues. U r not a GT at all. Nyie ndio mnaoandika humu JF ili majina yenu yaingizwe kwenye payroll Lumumba. Mwenzio kaleta data, names, events etc. Wewe huna hoja against hoja zake unatema pumba. Shame on you "seru-u"!
  4. Maisha+

    Kwa hili la kina Madabida na TPI, Nipashe wamechemka na ukweli wazushi

    Namshangaa sana mleta mada hii sijuwi amelipwa kiasi gani! Mapovu yanamtoka kuwatetea wahalifu na wauaji halafu anajifanya hana interest na akina Madabida, tunawafahamu kuliko unavyowafahamu. Hutetei profesionalism yako ila unatetea ufisadi.
  5. Maisha+

    Kwa hili la kina Madabida na TPI, Nipashe wamechemka na ukweli wazushi

    Tena nyamaza usituongezee machungu! Mdogo wangu amefariki 6 months ago kwa kutumia ARV zenu mnazoziita mlikuwa mnazipack tu kwa kutumia packing materials zenu! Tuna uhakika gani na contents zake kama mlikuwa hamchakachui? Mafisadi wakubwa nyie!
  6. Maisha+

    Wapi Rachel A Temu??

    Wanawake wa mujini bana dah....
  7. Maisha+

    Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

    Hawana cha kusema sasa - Bora liende kweli!
  8. Maisha+

    Sunday, April 21, 2013 MAKALA: JAYDEE, MNAFIKI WA MIAKA 10, SHUJAA WA SIKU 30

    Haswaaa! Mtoa mada amesema ukweli wote. Jaydee analalama nini leo? Mimi binafsi nasema Jaydee ni mbunifu lakini si mwimbaji bora kuwashinda akina Linah, Stara, Ray C, Jackline Ntuyabaliwe, Hafsa Kazinja, Mwasiti na wengineo wengi. Jaydee alipewa promo kali enzi hizo na akina Gadner Habash...
  9. Maisha+

    Sheria inasemaje pindi ahadi za Mh. Rais zinaposhindwa kutekelezwa?

    Ahadi zisipotekelezeka????? Inakula kwetu!
  10. Maisha+

    Bungeni: Serukamba aomba radhi

    Kusema kuwa nchi haitatawalika hilo nalo kumbe ni tusi? Kaazi kwelikweli!
  11. Maisha+

    Tanzania to prosecute three officials over $41m aircraft leasing scandal...

    Na ni huyohuyo JK kumteua Mataka mwizi wa PPF aliyenusurika kufungwa na Mkapa baada ya ubadhirifu yeye akamhonga ATC aitafune vizuri. Na alipomtoa ATC pamoja na madudu yote ya Mataka, JK huyohuyo akampa NIC na kweli wakaimaliza vizuri. Huwa napata shida sana kumuelewa JK!
  12. Maisha+

    Yaliyojiri katika Mkutano wa CHADEMA uwanja wa Ujenzi - Dodoma

    Magamba bana, siyo OJA ni HOJA
  13. Maisha+

    CHADEMA MMefungua NJIA!

    CCM siku zote wanategemea kura za wizi, wao wenyewe hawajiwezi
  14. Maisha+

    Bungeni: Mwigulu achafua upepo, Lissu atolewa nje ya bunge, agoma! Bunge lakatishwa kabla ya muda...

    Kilichonishangaza zaidi ni pale Peter Serukamba alipotukana kwa kutumia neno "---- you" na kiti hakikuchukua hatua yoyote. Angekuwa mbunge wa upinzani angetolewa na polisi
  15. Maisha+

    kiburi cha mwekezaji huyu na serkali ya Tanzania,

    Ni kweli kabsaaa. Hivi kwanza walifata nini huko? Ni haki yake mwekezaji kugoma kuongea au kuwaruhusu waingie kwa sababu kesi ipo mahakamani. Kama kesi ipo mahakamani kamati hiyo ya bunge ilifuata nini? nyambafu kabisa.
Back
Top Bottom