Recent content by Maisha Bora

  1. Maisha Bora

    Mradi wa Shule

    Hello bra and Sist. Naomba msaada wa kuanzisha shule (Sekondari ya kisasa ) yenye madarasa manne na ofisi mbili za walimu. Shule hiyo iwe katika mazingira ya Dar es salaam. pia na njia ya kuisajiri necta.
  2. Maisha Bora

    Naombeni msaada

    Vyabuyuni kwa watu vinategemea na eneo : kama ni karibu na barabara au mbali kidogo na barabara: Pia size, na pia unauziwa na nani :
  3. Maisha Bora

    Natafuta nafasi ya kujitolea information technology

    Unaweza kufundisha :Computer Applications : Kama Office Applications , Graphics Application , Accounting Package : Web Designing : Kama unaweza send me an sms
  4. Maisha Bora

    Hii nchi Viongo wakupigwa Bakora!

    punda hawezi kuwa Rais : Mi ntakuwa wapi
  5. Maisha Bora

    Mtaji miioni 60 naweza kufanya biashara gani?

    Nimeshangaa sana kuona kwamba unakopa then unaogopa kusimamia mpango wako ulouplann toka mwanzo : hata tukushauri vip lazima utaogopa ushindani : hakuna biashara isiyo na ushindani : Njia rahisi ya kukusaidia ili uweze kulipa pesa za watu labda ujaribu kununua hisa : nahofu kutoa mawazo yangu...
  6. Maisha Bora

    Biashara ya Uchawi Tanzania

    dah haka ka orodha kamenifurahisha : kumbe kwetu hakuna mchawi hata mmoja
  7. Maisha Bora

    JK: Tanzania kujenga reli ya kisasa ya kimataifa

    Naomba uzima nione matekelezo yako :
  8. Maisha Bora

    Nipeni Maujanja sasa:

    Hello bra and csta, Natumai tutakuwa pa1 kukamilisha hii sera ya Maisha Bora kwa kila Mtz. Advance thanking to you all.
Back
Top Bottom