Kama wewe ni mpenzi wa nyama ya bata basi wasiliana nasi. Tunaweza kukuuzia bata walio hai au waliochinjwa (na kuandaliwa vizuri tayari kwa kupikwa). Bata wako maeneo ya Dar es Salaam, Boko Dovya njia ya kuelekea Ndege Beach.
Bei: Dume ni Sh. 20,000/= na Jike ni Sh. 15,000/=. Karibuni.
Kuweka...