Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,083
- 6,239
Habari zenu wakuu!
Jana nikiwa ktk kibanda cha Fundi simu, nilishuhudia simu nyingi mbovu zilizopelekwa pale kwa ajili ya matengenezo, zikiwa na kidoti kidogo cha duara kwenye button namba 5 ya keypad. Nilipoangalia simu yangu, niliona nayo pia ina kidoti hiki. Nilijaribu kufanya udadisi kidogo kwa Fundi simu, kumbe naye hakujua kidoti hiki kina kazi gani.
Leo nimejaribu kufanya a simple research kwa kuangalia baadhi ya devices zenye keypad kwenye kibanda changu na kukuta kuwa kidoti hiki kipo pia ktk: calculator, Fax Machine, TRA'S EFD (Incotex 131F & 500F), scanner na simu ya mezani(HUAWEI).
Nimeangalia pia ktk LapTop yangu, sijaona kidoti hiki ktk button 5, bali nimeona bars ndogo mbili ktk buttons zenye herufi F & J.
Ningependa kufahamu, hicho kidoti na hizo bars zina kazi gani?
Jana nikiwa ktk kibanda cha Fundi simu, nilishuhudia simu nyingi mbovu zilizopelekwa pale kwa ajili ya matengenezo, zikiwa na kidoti kidogo cha duara kwenye button namba 5 ya keypad. Nilipoangalia simu yangu, niliona nayo pia ina kidoti hiki. Nilijaribu kufanya udadisi kidogo kwa Fundi simu, kumbe naye hakujua kidoti hiki kina kazi gani.
Leo nimejaribu kufanya a simple research kwa kuangalia baadhi ya devices zenye keypad kwenye kibanda changu na kukuta kuwa kidoti hiki kipo pia ktk: calculator, Fax Machine, TRA'S EFD (Incotex 131F & 500F), scanner na simu ya mezani(HUAWEI).
Nimeangalia pia ktk LapTop yangu, sijaona kidoti hiki ktk button 5, bali nimeona bars ndogo mbili ktk buttons zenye herufi F & J.
Ningependa kufahamu, hicho kidoti na hizo bars zina kazi gani?