Recent content by mainda211

  1. M

    Nashukuru nimeitwa UHAMIAJI

    mungu yumwema ata mm nimechaguliwa
  2. M

    Uhamiaji mambo tayari wale wa koplo na kostebo

    mbona hatuoni tupia link hapo tufungue
  3. M

    Majibu ya usaili uhamiaji lini ?

    bado hayajatoka
  4. M

    Majibu ya usaili uhamiaji lini ?

    hawa wanaenda chuo cha polisi moshi
  5. M

    Majibu ya usaili uhamiaji lini ?

    subiri tu maana wakaguzi wanaenda depo alhamis hii.
  6. M

    Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

    alafu if this issue doesnt concern u plz keep distance tuacheni tufanye yetu
  7. M

    Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

    watu wengne bwana yani wapo duniani apa kwa ajil ya kuvunja watu moyo kupigania haki ni moja ya dhawabu hapa dunian
  8. M

    Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

    kila kitu kipo kiongoz.sema muda wakat na wapi tupo tayar kutoa ushirikiano wote tupo pamoja katika hili
  9. M

    Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

    hatulazimishi chochote bali tunatetea haki zetu kma watanzania
  10. M

    Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

    huu ndo mwanzo wa kujuana swala ni lote wote hatuna budi kushirikiana
  11. M

    Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

    jaman weken contacts zenu bas ili tuwasiliane tujue itakuaje tupo weng sana katika swala hili ni vema tungeshirikiana tuone tunalitatua vip
  12. M

    Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

    safi sana.tuombe mungu tu atusimamie katika kupata haki yetu
  13. M

    Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

    jaman hii ishu tusiifanyie utani.ni vema tukutane tujadili hli swala la kumpeleka mwanasheria kabla wizara haijatangaza chochote
Back
Top Bottom