Recent content by maIang0

  1. M

    Eric Shigongo, njoo hapa nikufundishe maana ya vita ya kiuchumi

    Yaani mtu anakupa fedha kwa ajili ya bajeti ya serikali yako, maana makusanyo yako ya kodi na vyanzo vingine havikidhi bajeti yako yaani ina deficit budget afanye na vita na wewe kwa lini, tuache fikra potofu kabisa zisizo na ukweli wowote, tunapewa dawa, mikopo, misaada mbalimbali halafu...
  2. M

    Mbegu hii mlipanda CCM, leo msilalamike. Tusitiane ujinga wa uzalendo na utu

    Ufa upo tena mkubwa kwa sababu utawala huu hautaki mawazo mbadala yenye kujenga nchi, wanataka mawazo yao yakubaliwe na wote, watu wakihoji wanaambiwa wanatumiwa na mabeberu, siyo wazalendo, wapinga maendeleo, wanategwa na kunekana kama siyo raia wa nchi hii. Mwanzoni wa miaka ya 90 wakati nchi...
  3. M

    Mbegu hii mlipanda CCM, leo msilalamike. Tusitiane ujinga wa uzalendo na utu

    Neno la Mungu katika Gaatia 6;7 linasema, Msidanganyike Mungu hadhihakiwi, mtu apandacho ndicho anakachovuna, CCM walipanda mbegu ya chuki kwa chadema na viongozi wao, sasa wanataka wavune upendo upi? kutoka kwa nani? au uzalendo kwa vigezo vipi? vya watu kupotezwa na wasiojuikana? wamepanda...
  4. M

    Tundu Lissu ametumia haki yake kikatiba kuhoji alipo mkuu wa nchi. Sio jambo jema kumshambulia kana kwamba amefanya kosa

    Lini Lissu alikutangazia anashida na kazi wewe? Aishasema kazi hizo wapewe wa majalalani hana shida ya kupewa kazi, amehoji kama raia mwingine na ana nhaki zake zote kuhoji hivyo.
  5. M

    Tasnia ya habari hamumpendi mkuu wenu wa nchi? Mbona mnatia aibu?

    Tatizo siyo waandishi wa habari bali ni wamiliki wa vyombo vya habari ambao wamejiambatanisha na Serikali na hawako huru kuachia madaraka wa wahariri kuandika na kuhoji masuala mbalimbali kwa hofu ya kufungiwa vyombo hivyo, kimsingi hatuna vyombo huru vya habari vimebanwa vinaandika yale...
  6. M

    Maadili yameshuka sana ndio maana watu wanachekea matatizo

    Lumumba wasilalamike kwani ni matokeo waliyapanda maumivu kwa vyama pinzani haswa chadema, hawakuwa na pakusemea bali waliumia ndani kwa ndani, sasa wanafurahia kwa sababu hapakuwa na uponyaji wa majeraha ya mioyo kutokana na aina ya siasa za sas. Rejea hotuba ya Mbowe Bahari Beach alisema...
  7. M

    Maadili yameshuka sana ndio maana watu wanachekea matatizo

    Ndugu katika maisha apandacho mtu ndicho atakachovuna ukipanda Upendo tegemea unavuna upendo, ukipanda chuki matokea ni hayo hayo, hii ni kwa mujibu wa neno la Mungu Galatia 6.7, Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi , kwa kuwa chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. Mbowe alisimama Mwanza...
  8. M

    Zitto Kabwe: Mahindi ya Tanzania ni salama

    Zitto ni Mchumi, anazungumza kwenye eneo hilo, huwezi kuzungumza uchumi wowote duniani bila kuangalia chakula, swala la chakula ni la kiuchumi ukicheza nalo utasababisha inflation . Siyo swala la kick- kwani Zitto hafahamiki mpaka adandie hoja ya mahindi?
  9. M

    Waraka wa wazi kwa Dkt. Kitima

    Nani alikwambika tawala zote zimetokana na Mungu, wana wa Israel walimkataa Mungu baada ya waamuzi wakapata mfalme Saul, Ahabu Mfalme, Pharao wa Misri, Herode hawa ni baadhi ya watawala ambao hawakutokana na Mungu. Manabii ambao waiitwa waonaji ndiyo waikuwa wanangoza tawala za kifalme mfano...
  10. M

    Tumeachana kisasa bila shida

    Huyo mpya bado hujamjua wewe akiwa kimeo je? Acha papara umemchuguza vya kutosha baadaye usije ukajuta sana.
  11. M

    Usifanye makosa haya kwenye kuoa au kuolewa

    Kweli usimjali mzazi wako halafu utegemee unconditial love uone kama utapata.
  12. M

    Usifanye makosa haya kwenye kuoa au kuolewa

    Un My bro. hicho kitu unconditional love haipo kwa mwanadamu, Ni Mungu tu ndiye anaupendo huo kwa mwanadamu. Sisi wanadamu tuna conditional love. Hata kwenye biblia Isaka pamoja na kuposewa mke na baba yake Ibrahim alimpenda mke wake Rahel kwa kuwa aikuwa mzuri wa sura, fuatilia Yakobo na...
  13. M

    Usifanye hili kosa unaposalitiwa na Mkeo/Mwanamke wako

    Ishi kwa akili na mwanamke biblia imesema zaidi ya hapo huwezi kumshinda huyu kiumbe
  14. M

    RC Mghwira: Kifo cha Arthur Shoo ni udhihirisho kuwa Corona imerudi hivyo wananchi chukueni tahadhari!

    Vingozi wetu waajabu sana huyu mama juzi kakataa kabisa Kilimanjaro hamna Corona leo iweje akiri kuna Corona? Mbona hajielewi?
  15. M

    Vyama vya upinzani vina siasa za maji machafu - hawataiweza CCM mpaka CCM yenyewe iamue

    Tatizo siyo demokrasia ni kupata watu makini wasiopandikizi ndani ya vyama, angalia Cecil Mwambe au Sumaye wakepata uenyekiti chadema leo ingekuwepo. Fikiria watu kama Halima Mdee alikuwa Mwenyekiti wa Bawacha leo kawa Yuda Iskrariote, unadhani usipokuwa makini utapata vyama kama cha Shibuda...
Back
Top Bottom