Kua uyaone ..... nadhani umri wako bado mdogo haujaoa na hauna familia. Omba Mungu mambo kama hayo yasikutokee.Mimi mtu akichepuka ni kesho yuko kwao na nampeleka mwenyewe hadi kwao na kuwapa sababu za kumrudisha mwanao baada ya hapo sipokei simu ya mtu yeyote kutoka kwa huyo mwanamke sina mda wa kukaa nae sijui nichelewe kuja, nipeleke nguo kwa dobi