Recent content by maharage ya ukweni

  1. M

    FT: Al Masry SC 2-0 Simba SC | Robo Fainali CAF CC | New Suez Stadium | 02.04.2025

    Wazee wafupi walienda nao ila bahati mbaya walisahau kubeba na mbuzi 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
  2. M

    Monsinyo Gilbert Ndyamukama ateuliwa na Papa Francis kuwa Mratibu wa Kitengo cha Baraza la Kipapa la Uinjilishaji

    BARAZA LA KIPAPA 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
  3. M

    Kisiwa cha Greenland kina ukubwa zaidi ya mara mbili ya ukubwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Kunya anye kuku akinya bata ooooh kaharisha,Russia akiendelea kuimega Ukraine 🇺🇦 ni haki yake
  4. M

    Ila kutapeliwa kunauma wakuu

    Angalau maana kuna uongo ambao kidogo unakaribiana na ukweli,lakini uongo wake na ukweli ulikua mbingu na ardhi
  5. M

    Ila kutapeliwa kunauma wakuu

    Ujue kuna vitu vingine vinachekesha sana just imagine viatu soli zimelika upande mmoja,sura imepauka kama fuso lililotoka shamba kubeba mazao katikati ya msimu wa mvua.
  6. M

    Ila kutapeliwa kunauma wakuu

    Kuna mpuuzi mmoja eti alikuwa ananipa dili la biashara ya madini sasa nikimuangalia usoni kapauka balaa hala kachomekea nikiangalia viatu soli zimelika upande mmoja.Nilitaka kucheka ila nikamkaushia coz sisi wanaume utafutaji wetu ni jasho na damu.Mpuuzi mwingine eti aliniomba nimuazime simu eti...
  7. M

    Ila kutapeliwa kunauma wakuu

    Nini kujua namba? Hata ujue chumba ninacholala hakuna mpuuzi anayeweza kunitapeli,kuna mpuuzi mmoja walikuwa na ofisi ya kuzugia victoria pale green acres kona ya kuingia mwananyamala ni tapeli balaa . Basi alivyoniona kwa sura yangu ya upole akajua hili fala ngoja nilitapeli,ila kilichomkuta...
  8. M

    Najivunia ushamba na ulimbukeni huu ulinipitia mbali

    Braza gusa,achia twende kwao,tabia alizoelezea mtoa mada automatically ni za kishamba.Halafu watu wote wanaopenda kuongea sana,kujiposti posti na ujuaji mwingi hawa watu IQ zao ni ndogo sana
  9. M

    Ila kutapeliwa kunauma wakuu

    Kama huna nidhamu ya pesa lazima utatapeliwa sana,yaani sometimes ni ujinga tu wala tusifichane yaani umsaidie mtu mliokutana njiani 1.5m kweli?Ndugu tu wa tumbo mbona lazima pachimbike na vumbi litimke
  10. M

    Ila kutapeliwa kunauma wakuu

    Mimi kutapeliwa nasema haiwezekani coz nimeshakutana nao sana
  11. M

    Ila kutapeliwa kunauma wakuu

    Binafsi hela yangu kuichukua labda unitolee bastola au unipige roba ya mbao ila kwa utapeli hakuna huo uchawi wakuniingia ili unitapeli.Yaani huu ubahiri nilio nao sijui grade,stage au level gani maana ukiniambia tu nikupe hela hata buku tu wakati tumekutana njiani labda uwe kiwete ila ukiwa...
  12. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hawawezi kuyarudisha halafu Dubu kawaambia NATO kama vipi West watafuta target Kiev then waweke mifumo ya bora ya ulinzi yote wanayoiamini lakini yeye ataichoma na Oreshnik bila hata ya kubaki uchafu
  13. M

    Jamii ya Kiarabu ni watu wakorofi, washari, wenye ukatili na wasio na utu?

    Tatizo GOMBA a.k.a MIRUNGI Kutafuta majani mabichi kwa mda mrefu plus kutochanganya damu akili zinakuwa hazina akili
  14. M

    The dark side of business

    Huyu jamaa anayebisha kama sio mlokole basi atakuwa msabato 😁😁😁😁😁😁😁
Back
Top Bottom