Ujue kuna vitu vingine vinachekesha sana just imagine viatu soli zimelika upande mmoja,sura imepauka kama fuso lililotoka shamba kubeba mazao katikati ya msimu wa mvua.
Kuna mpuuzi mmoja eti alikuwa ananipa dili la biashara ya madini sasa nikimuangalia usoni kapauka balaa hala kachomekea nikiangalia viatu soli zimelika upande mmoja.Nilitaka kucheka ila nikamkaushia coz sisi wanaume utafutaji wetu ni jasho na damu.Mpuuzi mwingine eti aliniomba nimuazime simu eti...
Nini kujua namba? Hata ujue chumba ninacholala hakuna mpuuzi anayeweza kunitapeli,kuna mpuuzi mmoja walikuwa na ofisi ya kuzugia victoria pale green acres kona ya kuingia mwananyamala ni tapeli balaa . Basi alivyoniona kwa sura yangu ya upole akajua hili fala ngoja nilitapeli,ila kilichomkuta...
Braza gusa,achia twende kwao,tabia alizoelezea mtoa mada automatically ni za kishamba.Halafu watu wote wanaopenda kuongea sana,kujiposti posti na ujuaji mwingi hawa watu IQ zao ni ndogo sana
Kama huna nidhamu ya pesa lazima utatapeliwa sana,yaani sometimes ni ujinga tu wala tusifichane yaani umsaidie mtu mliokutana njiani 1.5m kweli?Ndugu tu wa tumbo mbona lazima pachimbike na vumbi litimke
Binafsi hela yangu kuichukua labda unitolee bastola au unipige roba ya mbao ila kwa utapeli hakuna huo uchawi wakuniingia ili unitapeli.Yaani huu ubahiri nilio nao sijui grade,stage au level gani maana ukiniambia tu nikupe hela hata buku tu wakati tumekutana njiani labda uwe kiwete ila ukiwa...
Hawawezi kuyarudisha halafu Dubu kawaambia NATO kama vipi West watafuta target Kiev then waweke mifumo ya bora ya ulinzi yote wanayoiamini lakini yeye ataichoma na Oreshnik bila hata ya kubaki uchafu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.