Recent content by Magwangala

  1. Magwangala

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Miongoni mwa matatizo ya msingi ya Man United ilikuwa ni kipa
  2. Magwangala

    Crescent Magori Mwenyekiti Mpya Simba Sport Club

    Alichukua ubingwa mara nne mfululizo na kuipeleka Simba robo fainali klabu bingwa kwa mara ya kwanza tangu miaka ya 70s.
  3. Magwangala

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mbeumo ni mali
  4. Magwangala

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Anatumia Cunha kocha anamuingiza Zikzee wakati Sesko yuko bench,Dalot ni kati ya wachezaji wasio na sofa ya kuchezea United
  5. Magwangala

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Kama kuna mtu anadhani hii vita itaisha hivi karibuni anajidanganya,vita ndio karibu inaanza,kinachoendelea ni maandalizi ya hiyo vita tu, itachukua miaka mingi,si mmoja wala miwili.Nitakuwepo kuwakumbusha kobazi na kafiri
  6. Magwangala

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Moderator Active Principled ni vema mkashughulika na watu kama hawa
  7. Magwangala

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Moderator na wenzako,ni vema mkampa haki yake huyu
  8. Magwangala

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Watashambulia kwa makombora 400 usiku mkali ilikuwa ya kweli?Usiamini kila unachosikia,tumeshuhudia uongo mwingi kutoka pande zote, kafiri na kobazi
  9. Magwangala

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Kutesa kwa zamu,jana kafiri aliugulia maumivu,ngoja tuone usiku huu kobazi ameshatangaza maafa yaja TelAviv
  10. Magwangala

    Askofu Gwajima aibukia kwa Padre Kitima kumjulia hali. Wapiga picha pamoja

    Ungekuwa na akili japo kidogo ungeelewa kuwa pale ameenda kumjulia hali Fr Kitima aliyenusurika kifo na sio huo upuuzi uliojaa kichwani mwako, uchawa umeshindwa kukufanya uone Gwajima hana makosa kwa kaulizi zake za kupinga utekaji
  11. Magwangala

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Naona leo makafiri wamelevel mzani baada ya jana kuugulia maumivu makali,narudia hii vita ipo miaka mingi mbele,kupigwa na kupiga vitatawala sana hivyo msijilipue sana
  12. Magwangala

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Hii thread inaweza kuvunja rekodi ya kuwa ndefu,maana vita hii itachukua miaka mingi kuisha,hii haishi mwaka huu wala mwakani,ni miaka,makobazi na makafiri kazi kwenu
  13. Magwangala

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Hakuna kipya,ni kawaida na ni kiapo kwa Jasusi kujiua maana adhabu yao inafahamika
Back
Top Bottom