Kama kuna mtu anadhani hii vita itaisha hivi karibuni anajidanganya,vita ndio karibu inaanza,kinachoendelea ni maandalizi ya hiyo vita tu, itachukua miaka mingi,si mmoja wala miwili.Nitakuwepo kuwakumbusha kobazi na kafiri
Ungekuwa na akili japo kidogo ungeelewa kuwa pale ameenda kumjulia hali Fr Kitima aliyenusurika kifo na sio huo upuuzi uliojaa kichwani mwako, uchawa umeshindwa kukufanya uone Gwajima hana makosa kwa kaulizi zake za kupinga utekaji
Naona leo makafiri wamelevel mzani baada ya jana kuugulia maumivu makali,narudia hii vita ipo miaka mingi mbele,kupigwa na kupiga vitatawala sana hivyo msijilipue sana
Hii thread inaweza kuvunja rekodi ya kuwa ndefu,maana vita hii itachukua miaka mingi kuisha,hii haishi mwaka huu wala mwakani,ni miaka,makobazi na makafiri kazi kwenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.