mkuu uko njema japo cjawa mwanahistoria kihivyo,yapo yakupasayo kuyafanyia utafiti zaidi pengine ili kugeuza fikra za walio wengi hususa issue ya BABU yetu MKWAWA.....
Mtoa mada nazan si sahh sana ninahakika pia huna tafiti za kutosha ktk hili hivyo huenda lisiwe na impact njema hivyo umakini unahitajika ktk lolote uwazalo na hata kuliweka machoni pa wengi...
mtoa mada, mada yako imekuwa tata kidogo lkn jua kuna maisha mazr pia nje zaidi ya utumishi uwalimu nk hoja ninamna utakavyojituma mwenyewe kusaka maisha ktk njia njema,mshahara daima hautakidhi mahitaji yote ya familia zetu masikini hizi,olewa na yoyote ila msitegemee mshahara pekee....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.