Inategemea na kiasi na mda unaofanya kazi, mfano mimi nafanya kazi masaa saba kwa siku 5, naingia weekend o/t, nakula bure kazn afu mwisho wa mwezi nakunja mil 5
Ndo hapo sasa, wewe umeleta kiumbe duniani unawajibu wa ku invest effectively ili kikue na kustawi ili kuendeleza kizazi bora na imara, ila ww uliishia kusomesha tu, unataka mtt na ka mshahara kake aje azibe failure zako zote za ujanani , hii ndo imesababisha chain ya umasikini isiishe, wazazi...
Kwanza pole kwa changamoto mkuu
Labda nikwambie kitu kimoja mfumo wa maisha ya ki africa tumejengwa katika hofu ili tudumae na tutawaliwe vyema, kwenye maisha hakuna mtu anayekudai au unayemdai isipokuwa tu kama una mtoto, mtu yeyote asikupe lawama kuwa humsaidii ukiikubali na kuijali hii...
Wananajamvi kwema jamani, walevi wenzangu rasmi leo nifuteni kwenye chama, juzi nimelewa nikatia aibu kwenye sherehe ya kazini, bado nikaenda kutia aibu kwa majirani,
Tutaonana wakati mwingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.