Wanigeria jokes zao kwanza ni so straight, Trevor Noah kama hujui jokes ndo utaishia kuwaangalia hao kina Sabinus....T. Noah ni level ya kina Kelvin Halt...Huyo Sabinus hamfikii hata Blackson
Kwanza mkuu hao Wasomali huingia hapa kimahendo, hawana documents za kuwa hapa..Na huko Zambia ni njia tuuu, wanaenda hapo South, hata Msumbiji wanapitia wengi mno, hawaitwi Wasomali, wanaitwa Wachezaji....
I see mkuu Paw Mr Ndeha kafariki? Dah, mie ntamkumbuka sana maana yeye ndo aliyenambia siku ya kwanza kabisa Jiteute, alikuwa anaita majina na kutwambia wewe mkondo gani...Alipoita jina langu akaniangaliaaaaa then akaniambia wewe subiri tuongee kidogo...mama yangu joto lilianza kunitoka, lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.