Recent content by Maguha Majamu

  1. Maguha Majamu

    Mashemeji zangu mambo vipi? Ebu pitieni hapa kidogo Ili twende sawa

    Katika kuboresha mahusiano yetu, hebu anza kutimiza ushauri wa shemeji, unaweza chukua pale ulipo dhaifu, try your best then utaona mahusiano yako yanavyoshamiri na hata kuwa Mubashara! I am telling you it works! Shemeji shusha vitu vingine kwa shemeji zako!
  2. Maguha Majamu

    Mashemeji zangu mambo vipi? Ebu pitieni hapa kidogo Ili twende sawa

    Hii hunikera sana kuona mtu na mke / mpenzi wanafokeana mbele za watu! Shemeji haya yote ni ya kweli kwa ajili ya kuboresha mahusiano.....!
  3. Maguha Majamu

    Prince Philip wa Uingereza Aliamuru Prince Diana Kuuwawa

    Princess Diana alikuwa ni mke wa Prince Charles but waliachana ndo akawa amempata huyo Dodi Fayed
  4. Maguha Majamu

    TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi

    Awamu ya tano ni kama Big Brother House, kila siku ni surprise na show kibao.....!
  5. Maguha Majamu

    A lady with wife material is need now

    Siyo bure
  6. Maguha Majamu

    Wanandoa wagegedane mara ngapi kwa wiki?

    Ukishaoa majukumu yatakukabili then automatically utajua mwenyewe kama unapiga vitano au kimoja!
  7. Maguha Majamu

    Chenge awa mkali, kumchukulia hatua aliyemzushia ujumbe wa uongo mtandaoni

    Elimu ya Chenge haina faida yeyote katika nchi hii zaidi ya kulitia hasara tu. mikataba yote isiyokuwa na tija Chenge yumo. Natamani Tanzania yetu ingetunyooshea watu wa type hii kwa kuwaua kwa risasi hadhani ili liwe fundisho kwa akina Chenge watarajiwa.
Back
Top Bottom