Murano Yard kabla ya registration ni 28M wewe umeshaitumia na ina registration kwa jina lako ikihitaji kubadili jina na nyaraka unauza 35. Jipange ndg gari siku hizi siyo deal
Kweli changamoto sana hapo ila mimi nisingefika kote huko mana mke hata kama mmegombana lazima utesti zari kama bado ana hasira au yameisha esp kama kosa ni langu.
If such a bad mistakes has happened already, then I would act arrogantly to the end, come what may
Mm nilikuwa mteja wa huduma ya post paid katika kampuni ya tigo kwa kifurushi cha shs 50, 000 kwa mwezi ambapo nilitumikia mkataba wao na kumaliza na kuondolewa katika mkataba huo kwa kipindi zaidi ya mwaka mmoja.
Lakini ilipofika julai 2014 nikaletewa sms kuwa nadaiwa kulipa shs 100, 000 au...
Tumuelewe le Mutuzi, anaposema wanaweza kukifuta chama mana yake ni kuwa Wabunge 280 wanaweza kupeleka mswada bungeni na kupigia kura ndani ya bunge na kupita na kuweza kufuta au kuingiza chochote watakacho kwa manufaa ya chama chao. Kwani mbunge mmoja anawakikisha kura moja, kitu ambacho ni...
Hivi umenipa majibu ya maswali yangu ambayo yamenisumbua sana na kwa mda mrefu, kwa kuona mashirika haya yenye muelekeo wa uanaharakati kukomaa sana na baadhi ya matukio dhidi ya CCM kuliko vyama vingine vya siasa.
Kama jukwaa la katiba wameonyesha kuwa wana mlengo wa upinzani kwa maana ya...
Kweli wewe una uwezo mdogo sana wa uelewa, kwa akili yako kabisa ulielewa kuwa ana maana ya sura ya binadam ( human face).
JF imekuwa sehemu ya ajabu sana hata ile slogan ya 'A home of great thinkers' sasa imepotea na imekuwa jumba la kubeba wajinga!
Great thinkers wengi aidha wamehama ndani...
Una maana ya aibu au haibu, hata kiswahili tu kinakupa tabu ndugu yangu!!!!!
Kwa namna hii utaweza kweli kuchambua masuala ya msingi ya uendeshaji wa nchi, we still have a long way to go!!.
Ukisema tufuatilie CV za wabubge wetu mbona wengi ni matatizo!!! Wengi wana elimu ndogo na wengine wameunga unga sana.
Najaribu kujiuliza hivi CV katika tovuti ya bunge ni kwamba zimekosewa au ndo za ukweli ambazo ndo wabunge wenyewe waliwasilisha wakati wa kuomba ubunge ili ziwauze kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.