Recent content by magosho jackson

  1. magosho jackson

    Serikali yafuta ajira za walimu mwaka huu

    Sisemi kuwa serikali haitaajiriila ni kwamba serikali ina uhaba mkubwa wa Fedha...Viinua mgongo, fedha nyingiwanazodaiwa na waheshimiwa madiwani, waheshimiwa wabunge, kugawana fedha zaESCROW...ndizo zinawafanya hata wafadhili kutoifadhili Serikali yetu.....Inawezekana hata mishahara ya baadhi ya...
  2. magosho jackson

    Serikali yafuta ajira za walimu mwaka huu

    Tujenge shule zetu wenyewe.... Serikali inagundua ilifanya kosa mapema kugawana hela za kwenda kununua mboga bila kuangalia kama waliwasomesha watu wengi na walihitaji kuwaajiri. Ni tatizo kubwa kwa nchi inayoendelea kama yetu ambapo watu wengi hawana kipato cha kuwawezesha kufanya lolote.
  3. magosho jackson

    Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

    sijaona alieongea la maana hapo. nilifikiri tangu haya yaanze kuna mtu ambae ameshawahi kufikiri ni kwanini na akaja na HOJA yenye kuelimisha na kutoa suggestion. lakini mmeonesha udhaifu mkubwa san. kiakili na kila kitu.
  4. magosho jackson

    Kwa hili Polisi Wasilaumiwe

    Hakuna kitu kama hicho labda kama na wewe ni mmoja wao. na katika hili naomba tuelewane, POLISI wamekuwa mstari wa mbele katika kuvunja sharia za nchi hii. wananchi wamekuwa hawana imani nao. Naomba usijaribu kuingiza siasa katika hili... speak of the reality
  5. magosho jackson

    Majanga UDSM:Zaidi ya wanafunzi 500 wamedisco katika mwaka wa masomo 2012/13

    unasema SUA wastan wa 50,katika rank ya kimataifa,kimekuwa cha ngap? Hata kwenye mia moja bora hakipo,fikiri kabla hujachangia,.
  6. magosho jackson

    simple

    kuna mtu ambaye MOYO wake ushawahi ku appreciate kwamba anampenda NDUGU yake, kwamba inafika kipindi yeye mwenyewe akubali kwamba kweli anampenda kuliko ndugu wengine achilia mbali na undugu wa damu?
  7. magosho jackson

    TCU Website HACKED?

    Mh km ndo hvi,there must be a problem with system and attendants.,ni kwa nini hawakuangalia suala zima la usalama?katka haya mambo ni lazima kitu cha kwanza cha kuangalia ni usalama wa kutoingliwa na watu wengne
Back
Top Bottom