Wakuu.
Muda huu ukumbi wa PTA hapa viwanja vya sabasaba kuna tukio kubwa sana la uzinduzi wa mafunzo ya viongozi wa chama na timu za ushindi kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015.
Mpango huu unaanzia kanda ya Pwani ambapo viongozi wote wa chama na serikali za mitaa wamejumuika kupokea mafunzo...
Nilidhani una akili timamu kumbe la hasha!!! wewe ni chizi .... tena chizi asiyejitambua.....
Siku zote mtu mwenye akili timamu ni yule anatetilia mashaka mambo anayoyaamini, ni lazima ujiulize kwaza kabla hujafiria kuandika ujumbe wa kipuuzi kama huu. Kwa hakika hata chizi anakuzidi uwezo wa...
Hayo ni matatizo ya siasa za kurithishana kutoka kwa wazazi.... ni aibu kwa kijana kama nape kuwa na fikra duni kiasi hicho uzeeni lazima awe mchawi huyo.
BWANA yesu aliwahi kusema yaacheni magugu yakue pamoja na ngano utafika wakati wa kuvuna ndipo mkulima atabagua magugu na ngano. haya sasa yamefika wapi? Big up Mwenyekiti wewe ni ngano safi achana na mgamba jiunge na majemedari wa magwanda
Giza haliwezi kuchangamana na Nuru, siku zote haki ya mtu haipotei isipokuwa huchelewa tu! Wananchi walikuamini Ras na wewe ukawapa kisogo basi hayo ndiyo malipo ya usaliti na usipotubu kwa wananchi waliokupa kura dhambi hiyo itakutesa kama JK anavyoteswa na dhambi ya kumchafua Salim (The...
NABII mmoja katika Biblia alisema maneno ambayo napenda uwe ufunguo wa majibu yangu kwa mtoa hoja hii. Nabii huyo, alisema: "Usimjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake usije ukafanana naye."Na pia: "Mjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake asije akajiona mwenye hekima mbele yake mwenyewe."...
The oroijino Komedi mnajishushia hadhi yenu kwa kutumiwa hasi na CCM, jueni kwamba umaarufu wenu unashuka na kupoteza mvuto kwa wapenzi wenu kama ilivyokuwa zamani. Kaeni chini mtafakari kisha mjiulize ni Watanzania wangapi wanaichukia CCM kisha idadi hiyo mtoe kwenye hesabu yenu ya zamani kabla...
Tatizo sio nyumba moja bali ni udini wa CCM, wanawatumia waislam kuwagawa watu wa Igunga hilo tumeliona wazi kupitia Mwigulu akitoa michango katika misikiti na kuwashawishi wachungaji kwa rushwa" lakini wanapoteza muda (It is too late) Tumechoshwa na magamba
Njama za CCM zimeanza ili kutoa vitisho kwa watanzania kama ilivyo kawaida yao. Kama wameshindwa kujenga hoja jukwaani watuachie CDM tushawishi wananchi na sio kuleta propaganda zisizo na tija kwa taifa. Watanzania wa Igunga hawataki kusikia visingizio bali wanataka kuambiwa kodi zao zimefanya...
Kushutumu chama fulani kimefanya ni kuingilia mahakama kazi yake ya kuhukumu, wana jamvi wenzangu JF Hebu acheni vyombo vya usalama vifanye kazi yake Eti! CHADEMA........ Mbona hamkusema KUbenea alipomwagiwa tindikali? Isitoshe CCM walipeleka mafunzo vijana wao wa Green guard Sherui kwa wiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.