Recent content by magohe

  1. M

    Magufuli sasa kufuta ibara ya 46 (3) ya katiba

    Can't work out.....won't work anymore. No one can get the job well done.waiting .....to no avail.
  2. M

    Balozi Juma Mwapachu ajivua uanachama wa CCM, hajaamua kujiunga na chama kingine

    isipokuwa wewe ndo mwenye impact?!!! ama kweli 10-1=0 ......hii itakuwa ni elimu bora ya shule za kata.
  3. M

    Taasisi ya Kiislam yatoa tamko dhidi ya Lowassa na Gwajima, kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015

    Baada ya mikakati ya lipumba,slaa na twaweza kugonga mwamba.....wameamua kuja na hili jipya nalo. Hivi hizo pesa zote mnazozitumia kupanga uharamia wote huu si mngewapelekea watoto wanaoishi ktk mazingira magumu. Sasa mi kama ustaadhi na maalim wa msikiti wa al anur nasema hapa hadanganywi mtu...
  4. M

    TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

    Huu ni mshumaa uliozima ghafla.....wala sitaki hata kuamini. Eee mungu tupe basi hata siri ya siku ya kuishi kwetu kwani twaweza japo kidogo kujua kipi tukifanye na kipi tukiache. R.I.P mtoi.......we won't see U anymore.
  5. M

    Lowassa asema atapunguza mshahara wa Rais toka milioni 400 kwa mwezi hadi milioni mbili

    Huu ni unyang'anyi na ujambazi mkubwa. Kweli binadamu hatupendani.
  6. M

    Utafiti wambeba Magufuli urais 2015

    Ccm mnaendelea kuishi kwa matumaini......mtasema mengi tu safari hii.yote tisa ,kumi 25 Oct.
  7. M

    CCM sijapenda hii leo Dodoma

    Wanatafuta mafuriko hali ya kuwa wanaishi jangwani? Kila mbinu tutapata kuijua mwaka huu.
  8. M

    Nape: wingi wa watu sio wingi wa kura

    Kila lugha itanenwa mwaka huu....lkn edo ndo homa la jiji.
  9. M

    WanaCCM tupaze sauti zetu hali ni ngumu huku mtaani

    Tusaidie pia kuidondosha hiyo kura yako kwa mbunge wa ukawa.....kwa diwani unaweza kukienzi chama chako. Utakuwa mwana mageuzi wa kweli kwa kufanya hivyo.
  10. M

    Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

    Kuna kila dariri za wale jamaa wa kijani kuhara damu musimu huu....
  11. M

    Huyu ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA aliyekuwa apinduliwe kwa kuwa too local

    Mbowe weeee......mbowe.sioni mfanowe. Wewe ni icon ktk siasa za afrika. Popote ulipo tutakukumbuka........huna mfano hapa tz.....uanganisha wtz ktk kujikomboa kutoka kwenye minyororo ya majambazi ya kijani.
  12. M

    Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    Mkuuu......hii ndo ajabu ya nchi hii na watu wake. Walio wachafu wanaonekana wema na waliowema ndo wanaonekana wachafu na wezi wakubwa. Kwa haya wtz tunastahili kuingizwa kwenye the guiness book. Ama kweli baniani mbaya ila kiatu chake dawa......
  13. M

    Zitto Kabwe: ACT- Wazalendo, hatutajiunga na UKAWA

    Mara tutajiunga na ukawa mara ooh,ooh ni wasaka tonge,mara hatuwezi kujiunga nao... . Hii double standard manake nini?!! akafie mbele.....
  14. M

    Ukweli wa Dkt. Emmauel Nchimbi kuzuiwa kugombea ubunge

    kabla ya hapo kolimba je?!! haidhuru amrani kombe nae vipi?! Basi kama itakupa taabu mfikirie mwangosi,mwenyekiti wa mtaa/kijiji cdm-arumeru na marehemu pamoja na wahanga wa mauaji ya soweto na kama itakera sana jaribu pia kuvuta fikra za ulimboka na kubenea......
Back
Top Bottom