Recent content by Magoe

  1. Magoe

    Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

    Tanzania ina Wananchi zaidi ya Milioni 50+ ila cha kushangaza katika miaka zaidi ya 60 ya Uhuru, nahisi Koo hazizidi 300 zinazoongoza nchi...ni kitendo cha Wao kurithi(shana) na kubadiri(shana) tu... inachekesha na kuhuzunisha.
  2. Magoe

    Umeshawahi kujaribu kuishi bila simu wala kuwasiliana na watu?

    CODE ingine hiooo kwa wataokaoshindwa 3PQBF1WM
  3. Magoe

    Nimepata kazi ya mkataba ila nilikuwa na uhitaji wa kazi ya kudumu

    Tusio na ajira na hatujui Ni lini tutapata ajira, tunakuangalia kwa jicho Kali Sana...tunatamani tukutukane Ila Sheria za jukwaa hazirihusu. Acha basi mi nikushauri kwa kuzingatia Sheria za jamiiforum. Nakushauri nenda kafanye kazi.. miaka miwili Ni mingi Sana endapo utafanya kazi kwa umakini...
  4. Magoe

    Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

    Bro! Hauhitaji msaidizi katika shughuri zako, Kijana nipo Dodoma Sina Ramani..kazi hazipatikani.
  5. Magoe

    Natafuta kazi yoyote halali, huku mtaani sio poa

    Bro Vipi, naomba hio Connection ya Kazi Zanzibar tafadhari. Ila Sina Vyeti mkuu mi mpambanaji tu. Kufika Zanzibar naweza kuforce
  6. Magoe

    Wafanyakazi WATATU waliopo DAR (vijana smart) Wanahitajika HARAKA iwezekanavyo..

    Yupo Dodoma mwenye uhitaji Boss, ni mtaalamu wa Computer ila sio mtaalamu wa Movie, ni mtaalamu wa mimala ya simu mitandao yote kwa 100%. Ila hana ndugj Dar.
  7. Magoe

    Mshahara wa Askari wa Jeshi la uhamiaji Tanzania

    Kwaio mliopo humu wote ni wababaishaji? Ila linapokuja swala la kumiliki ndinga hahahaha kila mtu anayo.
  8. Magoe

    Anahitaji kazi ya stationery

    Vigezo, Mshahara, eneo la kazi???
  9. Magoe

    Je, umewahi kufikisha goli 5 na kuendelea?

    2022 Mshikaji wangu alinihadithia kua alinunua Malaya Tandika akamchapa Bao 1 tu Ila ananiambia allimtembezea mboo Yule Malaya mpaka Malaya akakojoa...anatoka Malaya anampa Hongera kwa kumkojoresha.[emoji23][emoji23] Akazidi niambia kua alipoona hivo akaupenda huo mchezo akatafuta hela siku...
  10. Magoe

    Ulianzaje kukaa gheto?

    Dah! Nimerudisha Mpira kwa kipa[emoji37] Najipanga upya.
  11. Magoe

    Ulianzaje kukaa gheto?

    Dah!!! Nimecheka sanaaaa mzeee
Back
Top Bottom