Mbona sioni hicho kitu kinachowafanya watu walale uwanjani? Wamesahau alipokuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam alipomwambia mzee wa watu aliyekuwa akieleza (nadhani) shida za walimu "wewe mzee kaa chini...nakwambia kaa chini"? Tangu hapo...!
Mhu! Chama chake ndicho kinachoongoza serikali. Thuluma hizo zinatoka kwa nani? Nani ameshindwa kuondoa hiyo dhuluma? Ni Chadema au vyama vingine vya upinzani? Ni kama kujitekenya, halafu unacheka mwenyewe.
Uchapazi kazi uko katika kufanya juu-chini nchi iwe na mfumo bora wa huduma za jamii na uwajibikaji wa viongozi kwa wananchi wao. Matamko ya A kuelezea jinsi alivyopokonywa ardhi na B au C alivyotapeliwa na D siyo suluhisho la matatizo ya Watanzania. Ni watu wangapi wana matatizo na hawawezi...
Tunasubiri kwa hamu taarifa za kuchukuliwa hatua. Watu kama hao hawafai kuwa katika hii kazi inayohitaji nidhamu ya hali ya juu na kuwa mfano kwa raia. Shame upon him!
Mimi nadhani kufanya maridhiano na chama tawala "ni kujidanganya kabisa". Maridhiano huwa ni katika mambo ambayo yametokea na yakaathiri/jeruhi jamii kama ilivyotokea kwa Afrika Kusini au Rwanda. Lakini katika ushindani wa kisiasa hakuna cha maridhiano, ni kupoteza muda. Uza sera zako na waachie...
Nani kakwambia "haki hupewa"? Haki ni "inalienable" unakuwa nayo hata kabla ya kuzaliwa. Ni jukumu lako kuidai kila mara unapoona inakandamizwa au unanyang'anywa/porwa. Kuna legal maxim inayosema: "He who sleeps over his rights loses them". Maana yake ikiwa kwamba "usipodai haki zako" (pale...
Ina maana alikuwa "hajajitambua". Unaweza ukamuonya mtu asikuelewe. Baadaye akatafakari akaelewa. Kuna stages za kukubali jambo. Mara ya kwanza huwa kwa kawaida ni denial. Understanding inakuja baadaye na hapo ndipo mtu huanza kujirudi. Si unaona hata Nyerere? Kwani katika utawala wake uliwahi...
Nadhani wao hawakulenga kuwa na idadi kubwa zaidi ya wabunge, bali kutoa fursa sawa kwa wabunge wanaume na wanawake na huenda mantiki yao ni kwamba kura ziamue nani atakuwa mshindi na ikitokea (kama kuna huo muujiza) wakashinda wote wawili, sawa. Pendekezo hili halina maana kwamba majimbo ya...
1. First of this is not the Declaration which is being discussed.
2. Second the problem is not about the blessing of people/couples because I understand that if the blessing of people/couples was a problem, priests and pastors wouldn't be going to offer services to prisons where there are...
Ni kweli. Ila wanawapotosha watu wengi (innocent). Jana nilikuwa naongea na wife (naye alikuwa ameshapotoshwa) hadi nilipompa dondoo za waraka husika ndipo akaona tofauti. Lakini akaniambia hata rafiki yake mmoja (mke wa jirani yetu) naye ni Mkatoliki baada ya kusikia huu uwongo wa wazushi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.