1. Yesu alifundisha reconciliation. Kuna sehemu nyingi zinazoonyesha fundisho hili. Mfano, alipofundisha Sala ya Baba Yetu..."utusamehe dhambi zetu kama na sisi tunavyowasamehe waluotukosea" (Mathayo 6:12; Luka 11:4-5). Luka 6:37 anasema "samehe, nawe utasamehewa." Kabla ya kifo chake msalabani...
Kwani nimekubishia, kiongozi? Hata mimi ripoti hizi nazitumia kuonyesha maeneo ambayo tumefanya vizuri, na maeneo ambayo hatujafanya vizuri, lakini tunaweza kuyaboresha.
Kwenye ripoti kama hizi, mimi huwa siangalii tu Tanzania imekuwa ya ngapi, huwa naangalia pia ime'score' kiasi gani katika kila 'pillar' iliyotumika katika kupima overall rank. Mfano, kwenye ripoti hii, nchi 120 zilifanyiwa utafiti. Ukifuata idadi ya nchi zilizofanyiwa utafiti ukagawa kwa 2...
Kwa maoni yangu, tatizo ninaloliona, na linalojitokeza mara nyingi ni kutofanya "first things first". Matokeo yake ni kupata ufumbuzi wa tatizo lisilo tatizo halisi. Shida iko hapa.
Kuna hii short story by Fr Anthony de Mellow (a Jesuit priest) (alifariki in the late 1980s): The disciple asked the master, "Where's God?" "He's right in front of you," replied the master. "Why can't I see him?" asked the disciple. "Why can't a drunkard find his home?" asked the master in...
Kwani kusali na kufunga maana yake ni nini? Mfano, kwani wakati wa uchaguzi ni Watanzania wote hupiga kura? Jumapili ni Wakristo wote husali? Kwenye mikutano ya kisiasa ni wanachama wote wa vyama vya siasa huhudhuria shughuli au mikutano ya kisiasa? Nataka tu kukuonyesha kama ulikuwa na baadhi...
Kwani wewe ukisema jambo leo inakuwa ni kwa sababu hata huko nyuma uliwahi kusema? Na je ikitokea hujawahi kusema, ndiyo kusema usiseme tena? Is that the type of reasoning are you advancing?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.