Ndugu, unashindwa kabisa kuelewa kilichotokea. Malipo hufanyika baada ya idadi fulani ya vifo kwa kuua... Ukipata i.e vichwa tisa unalipwa.. Chama kipi hicho cha maiti kuwekwa chini ya uvungu wa kitanda... Jaribu kusikiliza kwa umakini ufaham wako upanuke
Yanga ana nafasi kubwa ya kuongoza kund A, uwezo wa Yanga kimataifa uleimarika maradufu, wachezaji wake wengi wanayajua haya mashindano vyema.. Team zote za kundi A hazina huo uzoefu wa karibuni, mshindani kwa Yanga atakuwa Mazembe tu.
Ndiyo maana mambo mengi hupindishwa kwa kivuli cha alishauriwa vibaya... Umenena vyema na wenye akili wataelewa, huwezi simamia sector/wizara kwa ufasaha ambayo ww mwenyewe huijui vyema structure na mianya yake
Hakuna kosa, wao wameeipoti wasiwasi wao isije kuwa wanaishi na jambazi sugu mtaani, uchunguzi umefanywa na polisi na hao jamaa hawakumtuhumu moja kwa moja..... Wakihukumiwa wananchi hawatakuwa tena na uhuru wa kuripoti pale wanapokuwa na maqhaka na watu ama kikundi cha watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.