Yani mimi chanzo nilimeza amoxcillin na panadol lkn nilimeza hizi dawa baada ya kuona mwili unaumwa, hasa ktk viungo nikaenda AAR Hospital, wanaona sina ugonjwa wowote, kurudi nyumbani nikawa kuchoka mara kwa mara pua zinakauka lkn sina mafua saiv sina sensing yeyote sasa kuanzia jana na leo...
Tulimaliza Chuo tangu Nov, 2017.
Ilipofika June 2018 Vyeti vikagawiwa kwa Wahitimu wote, lakini katika Vyeti vile kulikuwa na makosa ya kukosewa majina baadhi ya Wahitimu, tukaambiwa na Mkuu wa Chuo kuwa wote ambao majina yetu yalikosewa yatupasa tujiorodheshe baada ya miezi mitatu tukachukue...
Nitumie namba yako nikupigie. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa ambao haukawii kupokea dawa na kupona lkn watu hawaponi sababubya KUKIUKA MASHARTI, mfano hio X-ray uoiopiga OGB/umeiita Endoscope ni nzuri unaweza kuona vidonda ktk utumbo mpana Doudenum au X-ray ya Barium meal. Ok call me
Vidonda vya tumbo watu hawaponi kwasababu ya KUKIUKA MASHARTI. Mimi niliumwa vidonda vya tumbo kutoka 1999 Hadi 2006, nikapona, nililazwa Hindu Mandal. Nilichogundua ktk ugonjwa huu baadhi ya madaktari wanashindwa kutoa MASHARTI kwa mgonjwa wa vidonda.
Mfano mtu amemeza sawa za vidonda, labda...
Ila nakuonea huruma, mimi salary yangu nalipwa vizuri mno lkn naona maisha ni magumu kwa jinsi ninavyoona watu wanavyopata tabu halafu wewe less salary unaona poa, kweli tusali sana
Nani kakwambia anaumwa? Hio picha ya zamani mwenzako anatangaza ingili hadi jana jtano. Wee kalaga baho na umaskini wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hospital yeyote Ultra sound ni kama 18,000 ktk hospital.za serikali ingawa hii xray inaona tu dalili ya vidonda piga Xray ya BARIAM MEAL AU OGD/ hiki ni kipimo cha xray ya mpira ambao unamezeshwa tumboni
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.