Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,786
- 13,563
Mzizi mkavu je mtu mwenye typhoid akinywa mkojo wake ili atibu vidonda vya tumbo ineeza kumletea tabu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio Akinge (Urine) wake awe anakunywa kila Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa wiki moja aende kupima hivyo Vidonda vyake vya Tumbo vitakuwa Vimekwisha kauka na Matatizo yake yatakuwa yamekwisha nasema kweli simtanii hiyo dawa imewasaidia wengi.Kabla ya kunyw a:Mkojo wake akaupime hospitali je mkojo wake hauna maradhi yoyote yale? ndipo anaweza kutumia kwa kunywa.
Sent using Jamii Forums mobile app