Recent content by MAGISAC

  1. M

    JamiiForums Tanzania tuachane na gym! njia rahisi ya kupunguza uzito

    Aiseeee! hii imeniacha hoi... kama ni kweli basi wanaojiuza wote wangekuwa vimbaumbau maana kazi wanayofanya si haba.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mimba ya mke wangu inanitesa

    Pole sana mkuu, yatakwisha tu hayo, halafu unaonekana baba mzuri unamjali mkeo
  3. M

    JamiiForums Tanzania Naiba, nakiri ila sijutii hata kidogo

    Mh! kweli maisha ni utata mtupu.
  4. M

    JamiiForums Tanzania “Leo hapana mpenzi…..!”

    Kuna baadhi ya wanaume wanafikiri mapenzi ni kitandani tu, wanashindwa kuwaandaa wake zao kisaikolojia kabla hata ya kufika kitandani. Haijalishi mmeishi katika ndoa kwa muda gani lakini kama upendo kwa mke upo hakutakuwa na udhuru huo. Imagine umetoka kumgombeza mkeo au umemjibu vibaya then...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Makosa wayafanyayo wanaume wawapo kitandani na mpenzi mpya...!

    Ujumbe umefika, iko poa sana hasa picha zimenifanya nivutiwe zaidi kuisoma.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nimemfumania mke wangu, nimechanganyikiwa! Ushauri tafadhari...

    Pole sana, ila ninajiuliza kwa nini nyie wanaume huwa mnakuwa wagumu kusamehe pindi wake zenu wanapocheat? Wewe hujawahi kucheat? Pia jaribu kuangalia sababu za mkeo kucheat.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenye sura hii hawajali na wanajua kupenda…!

    Jinsia inafanana na hao wadada uliowaweka but sura sifanani nao.Nasubiri toleo lijalo utakalotoa. Au ndo ushafika mwisho?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Je utafanyaje mmeo akikuletea mtoto wa nje ya ndoa?

    Kwa hiyo mumeo awe free kuleta watoto ilimradi usimjue mnaeshare dudu? Una moyo wa pekee.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenye sura hii hawajali na wanajua kupenda…!

    Siku nikiona sura na wasifu ninaofanana nao basi nitaamini ayasemayo Mtambuzi.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tabia ya kushika / kuchungulia simu za waume / wake zenu muache!! Ohooooo

    Ndoa zina mengi jamani.Kukosekana kwa uaminifu ndio kunatufanya tupekue simu za wenza wetu.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hatimae mke wangu kasalimu amri

    Na wajinga ndio waliwao.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Chupi yako unaanika wapi.................?

    Sehemu nzuri ya kuanika pichu ni kwenye kamba juani ili ikauke vizuri. Kama yupo kwenye nyumba ya kupanga nadhani haileti picha nzuri kuziacha wazi bali anaweza kuzifunika juu kwa kutumia kanga nyepesi na kuzibana vizuri na kibanio. Si vizuri nguo za ndani kuonekana ovyo ingawa ni muhimu zikauke...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kila nikimkumbuka naumia roho!

    JF inaweza kuwa inasaidia kuongeza mtandao wa wapenzi wenye wapenzi walio na wapenzi wenye wapenzi. Amekusaidia kuvunja mtandao huyo na inaonekana haikuwa mpango wa Mungu.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Sababu za watu kusaliti katika mapenzi

    Kweli kumridhisha mtu ni kazi sana.Sometimes unaweza juta kwa nini uliingia kwenye ndoa.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake: Mume ghafla anaanza kukosoa chakula chako………!

    Sio siri inakera sana. Kuna wanaume wana gubu jamani.
Back
Top Bottom