Recent content by MAGIDA

  1. M

    JamiiForums Tanzania Reginald Mengi sikia hilli, sio kwamba tunakufundisha kazi

    ustarabu ni kitu cha kujivunia,hizo ngono za hadharani unazozitetea NCHABIRONDA mbona sikuelewi! ujasiri huo unautowa wapi kwa utamaduni wa mtanzani? au unataka kusema ndo maporomoko ya heshima ndani ya jamii ya watanzani? ,
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hodi wakubwa!

    naomba kuungana nanyi kwenye huu mchakato wa kuelimishana, nimependezwa na michango mbalimbali ya wana JF nami nimevutiwa kushiriki mijadala mbalimbali inayoibuliwa na GT asante!
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wasomi wa kitanzania tunajivunia nini?

    -Vyeti(diploma,digrii,uzamili,uzamivu na nk.) -
  4. M

    JamiiForums Tanzania Anang'ang'ania kuwafahamu wazazi wangu.

    Nenda tu kamtambulishe mwenzio ukimaliza hiyo shule yako kafungeni ndoa fastrer na sio kuweka visingizio, umri wote huo unahisi wazazi wako hawajui kuwa una rafiki wa kike? au unataka kutuambia nin?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Dr alphonce ndibalema wa udsm hatunae tena

    Inauma sana kumpoteza kamanda wa EA,ila Mungu awatie nguvu na moyo wa uvumilivu wafiwa wote, JNA LA BWANA LIHIMIDIWE
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu nimefiwa na baba yangu

    pole sana kwa msiba huo mzito
Back
Top Bottom