Recent content by Magic Mike

  1. Magic Mike

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Nahitaji Left Side Mirror ya Toyota Wish 2003
  2. Magic Mike

    Kwanini Graduate huwezi kutajirika kwa kukimbilia kijijini. Ni kujizika

    Hauwezi kuzishinda changamoto kwa kuzikimbia.
  3. Magic Mike

    Je, Usher Raymond anaweza Kumfunika Rihanna katika tamasha la Super Bowl Half Time Show?

    Usher ni legend in every way, lakini kumfunika riri haiwezi kutokea kamwe.
  4. Magic Mike

    Barua ya wazi(Open letter) kwako Fredrick Bundala Skywalker

    Jamaa hapendi kukosolewa. Tulishawahi kuingia nae kwenye argument ni mwepesi sana ku panic.
  5. Magic Mike

    Hivi inawezekana Mwanaume kuishi na Dada wa kazi nyumba moja?

    Kwani hata ukioa, nani amehalalisha kuwa ni lazima utakaye muoa awe ni mfanyakazi wa kazi za nyumbani..!? Mtazamo wenu wa kuoa ukoje..!? Au mnaoa wakina nani hao.!?
  6. Magic Mike

    Ameniambia niende gym nitengeneze mwili ili nimuoe

    Jitu refu alafu likiwa jinga jinga linakera sana.
  7. Magic Mike

    Wakili Mwabukusi apokea Wito wa Polisi Mkoani Mbeya, atakiwa kuripoti Ijumaa Julai 14, 2023

    Kuna nchi ukizaliwa tu automatically unakuwa umelaanika.
  8. Magic Mike

    Pisi kali tushawajua wanaomiliki vitu mnavyopiga navyo picha

    Hoja yako ni ipi sasa mkuu.
  9. Magic Mike

    Wanawake wenye tabia za kiume wanakera sana

    Na huwa haileti hata ile maana halisi ya mwanamke. Uko na mwanamke lakini kama uko na mwanaume.
  10. Magic Mike

    Wanaume tumekuwa wahanga wa kusingiziwa na wanawake

    Watu wengi sana wamekufa na wengine kufungwa magerezani kwa kusingiziwa na wanawake.
  11. Magic Mike

    Ngono inakuzwa sana, sioni sababu ya kupagawa na wanawake

    Wanawake kwa ujumla wao pamoja na pussy zao wako overated.
  12. Magic Mike

    Ni changamoto zipi umewahi kupitia ukiwa katika hali ya umasikini?

    Bado haibadilishi maana kwamba kuna waliopitia mapito makubwa ya kiuchumi.
  13. Magic Mike

    Bajeti 2023-2024 yapendekeza kuongeza Tsh. 100 ya Ushuru wa Barabara kwa kila lita

    Hata ikiwezekana tumkodishe raisi kutoka ulaya japo kwa mkataba tu.
  14. Magic Mike

    Naomba Ushauri, nimefilisika baada ya kuoa!

    [emoji3] Hapo ndio ulijiona una pesa ukaoa. Hata ukimuacha hiyo unayoisemea ni pesa[emoji16]..!?, Hebu acha kuchekesha mkuu.
Back
Top Bottom