Biashara kubwa usiangalie soko la kila siku kuna sehemu kila wiki mzigo unatakiwa tani 9 hivyo sio mayai mengi. Pia biashara inahitaji consistence ili uwe na uhakika pia wateja wawe na uhakika ndo maana sehemu nyingine unakuta ata pale Kilombero wana outgrower farmers in kukidhi demand ya mzigo...
Yaan hajui watu walioko humu wana uelewa mpana yeye analeta story ili afanye biashara yake na hana hata mbinu za kupata wateja Thread nyingi response zero.
Sizani kama kuna ukweli wowote ninalima migomba kwa mda mrefu sana nachoweza kusema ni kupata mbegu bora iwe ya kiasili au kisasa , chimba mashimo yaache kwa miezi mitatu ndo uchanganye mbolea na kupanda , sehemu kame umwagilie na ujitahidi kuwa na mbolea ya kutosha sana , pia migomba...
Nikusaidie kidogo kwenye ishu za pembejeo hakuna TBS wahusika wakuu wanaotoa vibali na vyeti baada ya kuuzulia mafunzo na kupass mitihani ni THPA upande wa viuatilifu, ASA upande wa mbegu na TFRA upande wa mbolea ikifuatia leseni ya biashara kutoka halmashauri husika na TRA kulingana na mauzo yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.