Recent content by Magezi bugaga

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nashauri usije ukajiroga ukapenda Mnyarwanda. Nilimpata Ughaibuni ni matatizo matupu

    Kaka hilo halitoshi kwa mateso hayo tumtafutie vijana wa immigiration wamuonyeshe shege najua safari ya mwisho wataenda mtupa benako
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nashauri usije ukajiroga ukapenda Mnyarwanda. Nilimpata Ughaibuni ni matatizo matupu

    Fire undeneath dont dare
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kinacho wafelisha Ughaibuni Part 2

    Story za kusadikika hizi ,msimuliaji alisikia
  4. M

    JamiiForums Tanzania Walimu wapunguza siku za kufanya kazi hadi 3 kisa mishahara kuwa midogo

    Pale malawi kuwa wanaokunja 270 na wako comftable
  5. M

    JamiiForums Tanzania Sitokaa nitongoze mtoto wa mtu! Hili lililo Nikuta limenifunza kitu MJINI hapa

    Ni vyema uache kabisa kuna mmoja juzi nimemchomoa kwenye msala baada ya kumtongoza mtoto wa shule , baba mlezi akanyaka simu ya mtoto na kukuta meseji wa jamaa anavyojibebisha ,wakamtimbia na wahuni hadi eneo la kazini kwake mtu mzima amekula vitasa shindili wanataka milion tano na jamaa hana...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Niko nachek show hapa MTV caught in act unfaithfully with Tim Roman
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nitajuaje kama imechakatwa kupita kiasi?!!!

    Hapo tunasema amekutana na kitwanga
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Hapo gia zinazopigwa lazima safari ikiwa mwisho aombe maji
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Teheeeee its all yours
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nimeangukia Demu wa Mtaani: Utamu Sijawahi ona!

    Remember dont be a fool remember to wrap the tool. Best advice ever
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wanasheria nisaidieni; Hawa watu P1-P10, ambao walikamatwa, kufunguliwa mashitaka, kesi haikwenda Mahakamani, kisha wanakuwa Mashahidi dhidi ya Lissu?

    Siko deep sana na sheria nachojiuliza , mashaidi wanapatikana kabla , wakati au baada ya tukio
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mkeo simpati, nataka kuja kuwasalimia watoto wangu. Tafadhari mwambie awalete kesho saa 3 asubuhi Matayo Hoteli

    Teheeeee kuna mmoja anataka kuoa mdada ana watoto watatu
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mkeo simpati, nataka kuja kuwasalimia watoto wangu. Tafadhari mwambie awalete kesho saa 3 asubuhi Matayo Hoteli

    Hizo vitu anatuma wapi na kwa nani ? Kuna vitu pengine hapa ndo vinaongeza migogoro kwenye familia kutokana na misundestanding ndogo unakuta mtu umezaa naye ili mambo yasiwe mengi inabidi ufanye kikao na mmewe kama mtoto huyo wanaishi naye uko ili kuondoa baadhi ya shida kama hizo na kueshimu...
Back
Top Bottom