Recent content by Magezi bugaga

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mateso ya Wanyama wanaovalishwa gari unguja (Punda na Ng'ombe)

    Afisa mifugo wa eneo husika ni jukumu lake kikawaida wanyama kazi awatakiwi kupigwa ila uwa kuna kitu kinatumika anapokipiga kinatoa sauti ya kumfanya mnyama aendelee na safari pia mwisho wa kazi ni saa sita inabidi apumzike hadi saa kumi kuendelea na kazi .
  2. M

    JamiiForums Tanzania Upolisi siyo kazi ya laana, hakuna taaluma iliyoundwa kwa ajili ya dhuluma. Kusudi la upolisi ni kulinda maisha ya wananchi

    Laana waliyonayo ni next level kuna mzee alikuwa mkuu wa upelelezi kanda ya ziwa, mwingine alikuwa mkuu wa polisi marine kanda ya ziwa at the end every thing fall apart now one of them already scotching the earth mwingine anaishi kama digidigi the fvckn curse his follow him wherever he go ...
  3. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tuorodheshei hapa mikoa kondoo yenye watiifu ambayo ilikuwa imepoa 29 October

    Burn every sh**t to the fvckn ground
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ukiwauliza CHAUMMA na ACT - Wazalendo wanataka kuridhiana nini na CCM hawawezi kukwambia

    Kabla ya maridhiano ni kukiri makosa sasa wamekosa nn ? Tuanzie hapo
  5. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kupangisha nyumba na fremu ni utajiri mkubwa watu wengi hawapendi kuwafumbua wenzao

    Nyumba au apartment ya kukodisha kuanzia laki mbili na nusu hadi 3 gharama za ujenzi zinacheza kuanzia milion 28 na kuendelea soo choose investment wisely
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Kiongozi uchungu wa pesa na maono uko naye yule anayeanzisha kitu ukijichanganya unaacha ndala
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Mm kazi ambayo uwezi kukua , innovation , rewards na kuongeza kipato aj kunegotiate na mwajiri ni kupoteza mda labda kuwe na allowance nzuri na mipigo tele , sasa una mshahara chini ya milion kwa miaka mitatu hela ikiongezeka hata laki moja aifiki na mtu unakuta yupo comftable kabisa ,hell no...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Mm i dont feel the sh**t about it , niliamua kufocus na mambo yangu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Usikose Kuangalia TPDC Inavyo Fanya Makubwa Sekta za Mafuta Na Gesi, Ni Leo Saa 3:40 Usiku Huu on Star TV

    Makubwa yapi wameanza kuchimba mafuta, au gesi ?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wakati Wachina Wanakamatia Fursa ya Kufuga Kuku na Samaki,Vijana Wa Bongo Wanahangaika na Siasa Uchwara za CDM na Ubishi wa Yanga na Simba

    Wameona fursa zilizo lala , si unaona hata kumuwezesha mkulima mdogo nchi yetu imeshidwa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Dry Cleaner and Laundry

    Mashine tafuta heavy duties mimi niko nayo ya kg 20 kwa matumizi ya home inapiga kazi vizuri ni miaka 3 sasa sijapata changamoto kampuni ni lg
  12. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ndogo ndogo ukizifanya kwa ukubwa na uweledi, zinaweza kukulipa mshahara ata zaidi ya milioni 50 kwa mwezi

    Ni wakenya zipo pwani hapo kuna ndugu yangu alikuwa anafanya kazi huko kabla ya kutimukia nje
  13. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ndogo ndogo ukizifanya kwa ukubwa na uweledi, zinaweza kukulipa mshahara ata zaidi ya milioni 50 kwa mwezi

    Tafuta mbegu za kisasa uanzie hapo kukua ni kidogo kidogo ila ndani ya miaka mitano utakuwa mbali sana kwa kuanza tafuta eneo eka 20 na mbuzi kama sabini hivi .wazalishe kwa mwaka ndo uanze kuuza tafuta kijiwe mjini uanze kuchoma nyama , bata na kuku . Fanya kazi kwa ufasaha the rest will follow
  14. M

    JamiiForums Tanzania Wiki nzima NMB, Atm na Nmb mkononi hazifanyi kazi.

    Nmb kuna siku nimeenda saa nne nimetoka saa nane huduma ni hovyo kabisa ety system mpaka uitwe namba na wahudumu wapo kidogo
  15. M

    JamiiForums Tanzania Ya Rigathi Gachagua kumkuta mtu fulani Tanzania

    Mimi nikiwa sehem niliwahi kushauri na kuleta njia ya kubadili mfumo ili siku ikitokea competition kampuni iwe mbele ya mda maana kiu ya wananchi ilikuwa hiyo na baada ya miaka mitatu mbele kweli competition ikawepo na hadi leo wameendelea kuliongoza soko na kutatuta changamoto na wananchi wako...
Back
Top Bottom