Recent content by Magezi bugaga

  1. M

    Ni ugonjwa gani huu wa kuku?

    Weka picha bila picha atuwezi pata picha
  2. M

    Mke wangu hataki nimshike kalio tuki-sex

    Hizi imani ni changamoto
  3. M

    Yuko wapi huyu tajiri wa mchongo?

    Now is looking like cat eating kennel
  4. M

    Iran Ndani ya Kibano Kikali cha Marekani, Hakuna meli yoyote inayoruhusiwa Kuingia au Kutoka Bandari za Iran

    Iran ni taifa lenye nguvu Sana ingekuwa nchi ya ahadi ingekuwa ni jangwa
  5. M

    Utatumia zaidi ya milioni 100 kufuga hawa kuku 10,000

    Biashara kubwa usiangalie soko la kila siku kuna sehemu kila wiki mzigo unatakiwa tani 9 hivyo sio mayai mengi. Pia biashara inahitaji consistence ili uwe na uhakika pia wateja wawe na uhakika ndo maana sehemu nyingine unakuta ata pale Kilombero wana outgrower farmers in kukidhi demand ya mzigo...
  6. M

    Jinsi ya Kupata Leseni ya Biashara ya Pembejeo Nchini Tanzania

    Yaan hajui watu walioko humu wana uelewa mpana yeye analeta story ili afanye biashara yake na hana hata mbinu za kupata wateja Thread nyingi response zero.
  7. M

    Je, ni kweli chokaa inachangia ubora na ufanisi wa mbolea katika kilimo cha ndizi?

    Sizani kama kuna ukweli wowote ninalima migomba kwa mda mrefu sana nachoweza kusema ni kupata mbegu bora iwe ya kiasili au kisasa , chimba mashimo yaache kwa miezi mitatu ndo uchanganye mbolea na kupanda , sehemu kame umwagilie na ujitahidi kuwa na mbolea ya kutosha sana , pia migomba...
  8. M

    Jinsi ya Kupata Leseni ya Biashara ya Pembejeo Nchini Tanzania

    Nikusaidie kidogo kwenye ishu za pembejeo hakuna TBS wahusika wakuu wanaotoa vibali na vyeti baada ya kuuzulia mafunzo na kupass mitihani ni THPA upande wa viuatilifu, ASA upande wa mbegu na TFRA upande wa mbolea ikifuatia leseni ya biashara kutoka halmashauri husika na TRA kulingana na mauzo yako
  9. M

    Utatumia zaidi ya milioni 100 kufuga hawa kuku 10,000

    Kuku elfu 3 wa mayai hadi wafikie kutaga unakuta ml 42 zimekata
  10. M

    Huu ni ugonjwa gani na unatibiwa vipi/na dawa gani?

    Lump skinny hiyo mchome antibiotics na vitamin kisha mpake dawa ya kuzuia nzi wasimguse
Back
Top Bottom