Awe amefanya au ajafanya jambo muhimu kama baba wa unayejieshimu utakiwi kumtazama kijakazi Kwa macho ya kumtamani , hiyo ni kukosa heshima Kwa mkeo na kumfedhehesha hivyo utakiwi kuonewa huruma kama ambavyo umhurumii mtoto anayetafuta kuona kama atakuwa na kesho yake badala yake unaenda...
Kuna kitu kinaitwa sign of disease, Kuna general sign of disease alafu mwisho Kuna differential diagnosis maana yake hapa mtaalamu anaangalia sign ambazo zinaendana na magonjwa mengine Kisha ataitoa sign Moja ambayo ni unique Kwa specific disease anafanya conclusion sasa kama anafanya hivyo hapo...
Eleza uliweka dawa kiasi gani kwenye maji kiasi gani Ili usaidiwe na ulipiga mara ngapi ? Na eneo Lina ukubwa Gani ukinijibu hayo na kama uko tayari nipe kazi hiyo maana ndo kazi zetu hizo kuanzia kumeneji viwanja vikubwa(Turf management), mbegu za ukoka na mengineyo. Tatizo lako limeshapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.