Mm kazi ambayo uwezi kukua , innovation , rewards na kuongeza kipato aj kunegotiate na mwajiri ni kupoteza mda labda kuwe na allowance nzuri na mipigo tele , sasa una mshahara chini ya milion kwa miaka mitatu hela ikiongezeka hata laki moja aifiki na mtu unakuta yupo comftable kabisa ,hell no...