Recent content by Magezi bugaga

  1. M

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Wema wako ulizidi uwezo .wahenga walishaliona Ili
  2. M

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Wema wako ulizidi uwezo .wahenga walishaliona Ili
  3. M

    Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    Awe amefanya au ajafanya jambo muhimu kama baba wa unayejieshimu utakiwi kumtazama kijakazi Kwa macho ya kumtamani , hiyo ni kukosa heshima Kwa mkeo na kumfedhehesha hivyo utakiwi kuonewa huruma kama ambavyo umhurumii mtoto anayetafuta kuona kama atakuwa na kesho yake badala yake unaenda...
  4. M

    Natafuta furniture kwa bei nzuri

    Piga nogozone dawa ya kunguni
  5. M

    Naomba kujua square meter ajili ya tiles za ukutani

    1m sawa na cm 100 Sasa badili vipimo kwenye Mita Kisha uzidishe
  6. M

    Ng'ombe bora wa maziwa aina ya Holstein freisian, Jersey na Ayrshire wanapatikana

    Tafuta kitu inaitwa body condition score utaelewa tofauti ya ngombe wa maziwa na nyama . Asante
  7. M

    Asparagus, hizi ni mboga za matajiri pekee

    Naweza pataje na Kwa mkoa Gani mkuu
  8. M

    Kuna anayeifahamu Maabara ya kupima na kugundua magonjwa ya wanyama jijini Mbeya?

    Ukiitaji tuanze kushusha darasa hapa la kudiferentiate sign of poultry disease uwezekano upo kabisa bila tatizo
  9. M

    Kuna anayeifahamu Maabara ya kupima na kugundua magonjwa ya wanyama jijini Mbeya?

    Kuna kitu kinaitwa sign of disease, Kuna general sign of disease alafu mwisho Kuna differential diagnosis maana yake hapa mtaalamu anaangalia sign ambazo zinaendana na magonjwa mengine Kisha ataitoa sign Moja ambayo ni unique Kwa specific disease anafanya conclusion sasa kama anafanya hivyo hapo...
  10. M

    Asparagus, hizi ni mboga za matajiri pekee

    Nilitafuta mbegu sijapata una connection ya mbegu zake
  11. M

    Suluhisho la konokono msimu huu wa masika ni kumdhibiti malkia wao

    Metalydehyde ndo dawa ya konokono .Over
  12. M

    Vijana Muigeni Msomi Mwenzenu Anaevuna Mamilioni Kupitia Zao La Parachichi

    Bei imesimama huku vijijini Jana nimetoka kuongea na wakulima uko njombe wanasikitika sana kingine kinachoumiza wakulima Awana hata taarifa.
  13. M

    Nawezaje kuwadhibiti mchwa wanaoharibu nyasi?

    Eleza uliweka dawa kiasi gani kwenye maji kiasi gani Ili usaidiwe na ulipiga mara ngapi ? Na eneo Lina ukubwa Gani ukinijibu hayo na kama uko tayari nipe kazi hiyo maana ndo kazi zetu hizo kuanzia kumeneji viwanja vikubwa(Turf management), mbegu za ukoka na mengineyo. Tatizo lako limeshapata...
Back
Top Bottom