Ni vyema uache kabisa kuna mmoja juzi nimemchomoa kwenye msala baada ya kumtongoza mtoto wa shule , baba mlezi akanyaka simu ya mtoto na kukuta meseji wa jamaa anavyojibebisha ,wakamtimbia na wahuni hadi eneo la kazini kwake mtu mzima amekula vitasa shindili wanataka milion tano na jamaa hana...
Hizo vitu anatuma wapi na kwa nani ? Kuna vitu pengine hapa ndo vinaongeza migogoro kwenye familia kutokana na misundestanding ndogo unakuta mtu umezaa naye ili mambo yasiwe mengi inabidi ufanye kikao na mmewe kama mtoto huyo wanaishi naye uko ili kuondoa baadhi ya shida kama hizo na kueshimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.