Recent content by mager6

  1. mager6

    Tulia kashaanza kutoa mlio tumsamehe au tumwache aisome namba?

    kuna mtu anaitwa kwekite akianguka na mtandao kwishnei
  2. mager6

    Unpopular Opinion: Arsenal hatoshinda taji lolote msimu huu

    masimu huu je
  3. mager6

    Yote 9 Jicho langu likamuangukia Iran

    Wakuu mchuano wa world cup unavutia unapoona iran anakipiga jirani na nchi hasimu si mchezo
  4. mager6

    Uzi maalum wa Kombe la Dunia la FIFA 2026

    mijitu inavyojua kujiona inajua, tangu ujue kugugu sasa wengine tutakoma maana kujibu sio kujaza server, server waijua wewe?
  5. mager6

    Uzi maalum wa Kombe la Dunia la FIFA 2026

    yanazalisha wanaaayansi kama kuua nzi
  6. mager6

    Uzi maalum wa Kombe la Dunia la FIFA 2026

    Upinzni uende hata kwenye soka sio kwenye mapigano pekee
  7. mager6

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    arsenal sijawahi kuiona kama timu ya amaana ni taka taka. tuliwahi cheza nao enzi za kati ya dalali kumikumbatia(10hag) au Amorim wakawa wanajipanga kwa mbali nyuma mpira ukipigwa wanakuja kwa fujo halafu marefa wanaamgalia tu. Yaani ikichukua premier title nitaanza kui betia
  8. mager6

    Kisa cha mwenye nyumba

    angepewa mwaka pia usingetosha mkuu. haya mambo yaomeni hivi hivi. Nilimuachia dogo mmoja boda anikindie, wkt wa kuhitaji kuhamia akawa mgumu sana kutoka
  9. mager6

    KERO Kagera: Serikali iingilie kati, Wanafunzi wa Rubafu Secondary School wanapewa adhabu kali sana

    bila fimbo mtoto hawezekani. mnataka watoto wenu wasichapwe, mnalea matatizo. Huruma sio malezi wewe
  10. mager6

    Kwanini Netanyahu waziri mkuu wa Israel wanamuita bibi?

    Msaada kwa wajuzi wa mambo. Huyu jamaa najua anaitwa Ben, na namuona kwenye media ni kidume ipi siri ya yeye kuitwa bibi?
  11. mager6

    Mama, mpaka mwendokasi unawapa waarabu?🤦🏾‍♂️😳

    USALAMA WA taifa umekufa
  12. mager6

    Mechi za soka zaanza kupuuzwa, hongereni Wananchi

    kwanini kwa sababu, Watanganyika wanatafakari namna ya kumuondoa kwenye ramani ya dunia huyu mmarekani muhuni muhuni tapeli tapeli anatumia mamluki kumhadaa mtanganyika, maana hata mikutano inajaa mamluki kuyoka uingereza na yule 7up naye kilaza sana
  13. mager6

    Mechi za soka zaanza kupuuzwa, hongereni Wananchi

    Sasa hivi Watanganyika(Iran) Wanzibara(Israel) na Sisiem(Marekani)
  14. mager6

    Iran yatoa amri ya wakazi wa Telaviv kuhama

    your government is lying… the war has not started yet.”
Back
Top Bottom