arsenal sijawahi kuiona kama timu ya amaana ni taka taka.
tuliwahi cheza nao enzi za kati ya dalali kumikumbatia(10hag) au Amorim wakawa wanajipanga kwa mbali nyuma mpira ukipigwa wanakuja kwa fujo halafu marefa wanaamgalia tu.
Yaani ikichukua premier title nitaanza kui betia
angepewa mwaka pia usingetosha mkuu.
haya mambo yaomeni hivi hivi. Nilimuachia dogo mmoja boda anikindie, wkt wa kuhitaji kuhamia akawa mgumu sana kutoka
kwanini kwa sababu, Watanganyika wanatafakari namna ya kumuondoa kwenye ramani ya dunia huyu mmarekani muhuni muhuni tapeli tapeli anatumia mamluki kumhadaa mtanganyika, maana hata mikutano inajaa mamluki kuyoka uingereza na yule 7up naye kilaza sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.