Ndugu zangu. habarini
simu yangu inapitia wakati mgumu. Wakati namtafuta ephen_ kipenzi nahisi nayeye anatumia simu ya mkopo maana simuoni hata akichangia na kulike mada humu jukwaan. min -me ukimuona popote mwambie nimepokea posho atume namba nimlipie simu atumie aepuke ku kuzimiwa simu
arsenal sijawahi kuiona kama timu ya amaana ni taka taka.
tuliwahi cheza nao enzi za kati ya dalali kumikumbatia(10hag) au Amorim wakawa wanajipanga kwa mbali nyuma mpira ukipigwa wanakuja kwa fujo halafu marefa wanaamgalia tu.
Yaani ikichukua premier title nitaanza kui betia
angepewa mwaka pia usingetosha mkuu.
haya mambo yaomeni hivi hivi. Nilimuachia dogo mmoja boda anikindie, wkt wa kuhitaji kuhamia akawa mgumu sana kutoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.