Recent content by mager6

  1. mager6

    JamiiForums Tanzania Natumia samsung ya mkopo mkiona sipo hewani mjue sina 1500 ya rejesho

    ana upublic upi, kipi cha ajabu? amuilize bibi yake
  2. mager6

    JamiiForums Tanzania Natumia samsung ya mkopo mkiona sipo hewani mjue sina 1500 ya rejesho

    Mkuu Lucas Mwashambwa inamaana unamendea mali zangu. taka kama comredi Lucas Mwashambwa tuna DNA kwenye chama chetu pendwa sio kuchukuliana madem mzee
  3. mager6

    JamiiForums Tanzania Natumia samsung ya mkopo mkiona sipo hewani mjue sina 1500 ya rejesho

    kwani atakuwa kidume mwenzangu ee? ajie tu kwamba sijaleft. eti ananiita dogo!! ooh kwana ana miaka 60?
  4. mager6

    JamiiForums Tanzania Natumia samsung ya mkopo mkiona sipo hewani mjue sina 1500 ya rejesho

    Ndugu zangu. habarini simu yangu inapitia wakati mgumu. Wakati namtafuta ephen_ kipenzi nahisi nayeye anatumia simu ya mkopo maana simuoni hata akichangia na kulike mada humu jukwaan. min -me ukimuona popote mwambie nimepokea posho atume namba nimlipie simu atumie aepuke ku kuzimiwa simu
  5. mager6

    JamiiForums Tanzania Nampenda sana huyu dada

    haja like popote
  6. mager6

    JamiiForums Tanzania Nampenda sana huyu dada

    min -me nitafutie huyu mwanadada mwanajeshi kwa jina ephen_
  7. mager6

    JamiiForums Tanzania Tulia kashaanza kutoa mlio tumsamehe au tumwache aisome namba?

    kuna mtu anaitwa kwekite akianguka na mtandao kwishnei
  8. mager6

    JamiiForums Tanzania Unpopular Opinion: Arsenal hatoshinda taji lolote msimu huu

    masimu huu je
  9. mager6

    JamiiForums Tanzania Yote 9 Jicho langu likamuangukia Iran

    Wakuu mchuano wa world cup unavutia unapoona iran anakipiga jirani na nchi hasimu si mchezo
  10. mager6

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia la FIFA 2026

    mijitu inavyojua kujiona inajua, tangu ujue kugugu sasa wengine tutakoma maana kujibu sio kujaza server, server waijua wewe?
  11. mager6

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia la FIFA 2026

    yanazalisha wanaaayansi kama kuua nzi
  12. mager6

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia la FIFA 2026

    Upinzni uende hata kwenye soka sio kwenye mapigano pekee
  13. mager6

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    arsenal sijawahi kuiona kama timu ya amaana ni taka taka. tuliwahi cheza nao enzi za kati ya dalali kumikumbatia(10hag) au Amorim wakawa wanajipanga kwa mbali nyuma mpira ukipigwa wanakuja kwa fujo halafu marefa wanaamgalia tu. Yaani ikichukua premier title nitaanza kui betia
  14. mager6

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mwenye nyumba

    angepewa mwaka pia usingetosha mkuu. haya mambo yaomeni hivi hivi. Nilimuachia dogo mmoja boda anikindie, wkt wa kuhitaji kuhamia akawa mgumu sana kutoka
  15. mager6

    JamiiForums Tanzania KERO Kagera: Serikali iingilie kati, Wanafunzi wa Rubafu Secondary School wanapewa adhabu kali sana

    bila fimbo mtoto hawezekani. mnataka watoto wenu wasichapwe, mnalea matatizo. Huruma sio malezi wewe
Back
Top Bottom