Kwa uelewa wangu ili uwe mkemia soma bsc. in chemistry. Japo mtu aliyesoma bcs. chemical and process engineering anaweza kuwa; ndo maana mkemia mkuu wa serikali kwa sasa Prof. Manyele amesoma Chemical engineering.
Wasikuogopeshe, kama mkemia unafanya kazi sehemu nyingi mno hasa laboratory za viwandani. kwa mfano viwanda vya soda, vya bia, vya sukari, vya nguo n.k as long as there is lab
Habari za mchana wandugu,
Kuna mdogo wangu kanipigia kaniambia eti kuna majina ya watu waliokosea kujaza yametolewa na bodi ya mkopo. nimetafuta vyakutosha sijayaona. Kama kuna mmoja wetu mwenye taarifa naomba anijuze, just a link will do!
Asanteni
Umejibu nilichokuwa nawaza. Nikionacho hapo Huyo unayemuita mzazi mwenzio Hana hata chembe ya mapenzi na wewe. Kama uliweza kusavaivu toka mimba ya miezi 7 till mtoto Ana miezi 6 ambapo ndo kipindi kigumu zaidi, you can still do it now tena kwa raha zaidi.
Chagua Uhuru, Achana na utumwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.