Recent content by magavya

  1. M

    Rais Magufuli, kuwataabisha vijana kwa kuwanyima ajira au kuwawekea vikwazo hakukusaidii lolote

    Mkuu ataathirikaje wakati uchaguzi wake hautegemei kura zako?Unadhani kwanini tume inalalamikiwa?
  2. M

    Rais Magufuli, kuwataabisha vijana kwa kuwanyima ajira au kuwawekea vikwazo hakukusaidii lolote

    Unaamini kura za vijana ndiyo zitampitisha? Wewe ni mgeni hapa Tanzania?
  3. M

    Rais Magufuli, kuwataabisha vijana kwa kuwanyima ajira au kuwawekea vikwazo hakukusaidii lolote

    Kwa akili zako,unaamini huyu alipita kwa kura halali?
  4. M

    Rais Magufuli, kuwataabisha vijana kwa kuwanyima ajira au kuwawekea vikwazo hakukusaidii lolote

    Hatakama serikali haiwezi kuajiri kila mtu,mbona kipindi cha JK ilikua desturi kila mwaka,lazima ajira zitolewe kwa wingi,huyu kwanini hafanyi hivyo? Anategemea nini?
  5. M

    Rais Magufuli, kuwataabisha vijana kwa kuwanyima ajira au kuwawekea vikwazo hakukusaidii lolote

    Wewe utakua hujui lolote,unajua vyuo vikuu vinatoa wahitimu wangapi kila Mwaka? Halafu huyo unayemsifu anakuja kutangaza nafasi 3600 za walimu wa fasihii ya kiingereza,walimu wangapi wanabaki bila ajira?
  6. M

    TBC inafunga mitambo yake leo usiku, Inakuwa TV ya kwanza na ya kisasa zaidi barani Afrika

    Yawezekana mtoa maoni hana mshikamano na chama chochote cha siasa nchini,ila anakerwa na jinsi TBC ambayo ni chombo cha serikali kinatangaza kwakuegemea upande wa chama hawala kipindi cha kampeni,ilhali kodi zetu sisi tusio na vyama vya siasa pamoja na wenye vyama vya siasa. Anakerwa na jinsi...
  7. M

    Fursa haiji mara mbili

    Zitto sijui nanani huyo....
  8. M

    Wakulima wa Newala wagomea bei ya korosho

    Bei ikipanda mnasema serikali ya CCM imefanya jitihada kupandisha bei ili kumjali mkulima(mnatumia fursa hiyo kupiga siasa),bei ikiwa mbaya,hamtaki siasa,badala yake mnasema uhalisia kua tatizo ni soko,tena yule jamaa mbana ajira mkuu anajitapa kwelikweli. Tanzania hamna wachawi,haiwezekani CCM...
  9. M

    Upungufu wa korodani una uhusiano na ufanisi katika ufanyaji wa tendo la ndoa?

    Mkuu mi najua ngiri ndo mshipa na mtu akitingwa sana hutolewa kende moja... kama unauelewa nijulishe
  10. M

    Je, ni maamuzi yapi ulichukua pale ulipogundua mchumba wako ana mahusiano na mtu mwingine?

    Yaani mimi au masela wengine wanaotaka kula mzigo kwa girlfriend wako,tunaweza kuwasiliana nae muda wowote na tukala mzigo kama kawaida,kwasababu hukaguagi simu wala huishiki.
  11. M

    Je, ni maamuzi yapi ulichukua pale ulipogundua mchumba wako ana mahusiano na mtu mwingine?

    Kwa hiyo saa hizi hofu ni kwa masela tu,siyo girlfriend, ni mwendo wakupiga tu simu na yeye mwenyewe.
  12. M

    Mali zifuatazo zinauzwa-Divorce settlement

    Ambao wanazaa nakuijaza dunia,wote wameoa nakuolewa?
  13. M

    Mali zifuatazo zinauzwa-Divorce settlement

    Mkuu kasema unamtumie meseji privately.. una akili ya aje wewe?Halafu siyo mara ya kwanza kufanya upumbavu. Kwanini hukui? Nikwambie mara ngapi kuhusu mambo yako yakijingajinga?
Back
Top Bottom