Hatakama serikali haiwezi kuajiri kila mtu,mbona kipindi cha JK ilikua desturi kila mwaka,lazima ajira zitolewe kwa wingi,huyu kwanini hafanyi hivyo?
Anategemea nini?
Wewe utakua hujui lolote,unajua vyuo vikuu vinatoa wahitimu wangapi kila Mwaka?
Halafu huyo unayemsifu anakuja kutangaza nafasi 3600 za walimu wa fasihii ya kiingereza,walimu wangapi wanabaki bila ajira?
Yawezekana mtoa maoni hana mshikamano na chama chochote cha siasa nchini,ila anakerwa na jinsi TBC ambayo ni chombo cha serikali kinatangaza kwakuegemea upande wa chama hawala kipindi cha kampeni,ilhali kodi zetu sisi tusio na vyama vya siasa pamoja na wenye vyama vya siasa.
Anakerwa na jinsi...
Bei ikipanda mnasema serikali ya CCM imefanya jitihada kupandisha bei ili kumjali mkulima(mnatumia fursa hiyo kupiga siasa),bei ikiwa mbaya,hamtaki siasa,badala yake mnasema uhalisia kua tatizo ni soko,tena yule jamaa mbana ajira mkuu anajitapa kwelikweli.
Tanzania hamna wachawi,haiwezekani CCM...
Yaani mimi au masela wengine wanaotaka kula mzigo kwa girlfriend wako,tunaweza kuwasiliana nae muda wowote na tukala mzigo kama kawaida,kwasababu hukaguagi simu wala huishiki.
Mkuu kasema unamtumie meseji privately.. una akili ya aje wewe?Halafu siyo mara ya kwanza kufanya upumbavu.
Kwanini hukui?
Nikwambie mara ngapi kuhusu mambo yako yakijingajinga?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.