Omuzirambogo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 685
- 750
Nimetafakari picha ya NAHUJA kwa umakini sana. Sijui kijana huyu alikuwa na umri gani wakati ananong'onezewa jambo na mkuu huyu. Je,. alichoambiwa alikitekeleza? Kama jibu ni HAPANA angetekeleza angekuwa wapi sasa?