Ndugu wa JF,kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nimekua na mawazo sana kua endapo ikitokea nimeugua ngiri na operesheni ikahusisha utoaji wa kende moja na mimi nikabaki na moja,je sintakabiliwa na upungufu wa nguvu za kiume na hivyo kupelekea kuteteresha ndoa yangu?
Nimeuliza hivyo ili itakapotokea ngiri ikanibana sana niwe na wepesi wakwenda kufanyiwa operesheni au nitumie tiba mbadala endapo majibu ya wanajukwaa watatoa michango ya maoni ambayo itaonyesha madhara makubwa au madogo.
Nimeuliza hivyo ili itakapotokea ngiri ikanibana sana niwe na wepesi wakwenda kufanyiwa operesheni au nitumie tiba mbadala endapo majibu ya wanajukwaa watatoa michango ya maoni ambayo itaonyesha madhara makubwa au madogo.