Sasa jamani kama ni mpambanaji sana ni lazima aende bungeni. Najua wote ni wambambanaji katika mazingira tofauti nachoomba aendeleze harakati zake nje ya bunge.. Chama kinatakiwa kujengwa. Ndo maana ya dhana ya uwakilishi ni wachache wanatakiwa
Wanao sema mtoto sio kweli. Watoto hawajui siasa na hoja nzito hivyo.kwa hiyo ni kuyatafakari na kuyaacha yalivyo maana yana mwisho wake. Anakuambia watatawala miaka mwingine 50.
Naomba kuuliza jamani. Hizi special seat zinawahusu mwanaume pia? Kama wanaume wanaruhusiwa viti maalumu basi msimwache kafulila p.se na mtatiro ni watu muhimu bungeni...
Mimi sio mwamini wa RC. Ila p.se tunaomba msiwachonganishe watumishi na wanasiasa. Hapa unajenga tu chuki. Unaliamini sana ilo gazeti?? Siasa za maji taka.
Ni baadhi ya Miji sio kote. Sisi hatujui lini tutalipwa hata. Ila misibweteke. Uchaguzi unafanyilka kila baadae ya miaka mitano. Kwa hiyo jiande kisaikology miaka mitano utaishije. Soln. Mabadiliko tu ninachoona Mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.