Recent content by magajohn

  1. M

    Huu ndio ufisadi wanaoufanya walimu serikalini. Nao ni majipu, watumbuliwe

    Ufisadi hapo uko wapi. Au unaelewa nini kuhusiana na neno ufisasi
  2. M

    Huu ndio ufisadi wanaoufanya walimu serikalini. Nao ni majipu, watumbuliwe

    Na miminimeshafanya sana lengo kipato. Mlipe MTU kipato sawa na anachofanya. Lazima utafute njia mbadala ya kujikimu.
  3. M

    Mchaga huyu mmmmh

    Sasa kama yuko hivyo ujue sio wako unalazimisha. Tafuta mkoa wa pwani utapata anayejua mapenzi.
  4. M

    Wanaume siku hizi wana Vitambi na Kitandani hawafanyi kitu

    Mmenifurahisha sana na huu Uzi. Ila ukweli mtupu
  5. M

    Nusrat Hanje: Viongozi wa CHADEMA hamjamtendea haki huyu dada, amedhurumiwa na hii si sawa

    Sasa jamani kama ni mpambanaji sana ni lazima aende bungeni. Najua wote ni wambambanaji katika mazingira tofauti nachoomba aendeleze harakati zake nje ya bunge.. Chama kinatakiwa kujengwa. Ndo maana ya dhana ya uwakilishi ni wachache wanatakiwa
  6. M

    Majigambo ya Mtoto wa Rais na 'Precedents' za Viongozi Watangulizi

    Wanao sema mtoto sio kweli. Watoto hawajui siasa na hoja nzito hivyo.kwa hiyo ni kuyatafakari na kuyaacha yalivyo maana yana mwisho wake. Anakuambia watatawala miaka mwingine 50.
  7. M

    Angalizo kwa Mbowe, Mnyika, Kubenea, Mdee, Tundu Lissu

    Naomba kuuliza jamani. Hizi special seat zinawahusu mwanaume pia? Kama wanaume wanaruhusiwa viti maalumu basi msimwache kafulila p.se na mtatiro ni watu muhimu bungeni...
  8. M

    Januari Makamba: Magufuli kutangazwa Rais tarehe 29 oktoba 2015

    Kuna tofauti kati ya mteule na wakuchaguliwa kwa kura.
  9. M

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Atatoa kesho wakati sisi kesho ndo tunapiga kura. Hukumwelewa sikiliza vizuri
  10. M

    Lindi - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Mwenyewe natamani matokeo ya mtama
  11. M

    TBC wanaonyesha mkutano wa UKAWA

    Tanzania tutakua tumeongeza ajabu moja LA dunia. TBC kurusha matangazo ya Ukawa tarehe 24 siku moja kabla ya uchaguzi...
  12. M

    Kardinali Pengo amkemea Lowassa

    Mimi sio mwamini wa RC. Ila p.se tunaomba msiwachonganishe watumishi na wanasiasa. Hapa unajenga tu chuki. Unaliamini sana ilo gazeti?? Siasa za maji taka.
  13. M

    Ni Heka heka mitaani leo, walimu wamelipwa madeni yao yote + Posho ya Uchaguzi hatupumui

    Ni baadhi ya Miji sio kote. Sisi hatujui lini tutalipwa hata. Ila misibweteke. Uchaguzi unafanyilka kila baadae ya miaka mitano. Kwa hiyo jiande kisaikology miaka mitano utaishije. Soln. Mabadiliko tu ninachoona Mimi...
  14. M

    Edward Lowassa aongea na Watanzania; aahidi Katiba Mpya itapewa kipaumbele - Oktoba 23, 2015

    Jamani Mimi na marafiki zangu tuna subiri jumapili tu ifike maana nachinja vibaya. Nimeshamkubali na kumwelewa lowassa hakuna wakunibadili kabisa
Back
Top Bottom