Mr Fyatu usiwatetee wezi waache waondoke, natambua umuhimu wa kuwa na viongozi wachapakazi na wasafi kwa mstakabali wa Taifa langu, lakini kwa hili HAPANA hata kama Muhongo na Maswi ni wachapakazi unawaubali wakubali wameteleza katika utendaji wao wapishe waje wengine mbona wanajiona bila...
Hana lolote akabidhi ofisi, uongozi wake wa kimajungu,ukabila, visasi kwa walio kinyume naye, urafiki,kuhamisha watumshi kwa kuwakomoa, kufanya uteuzi wa vyeo kwa upendeleo,kugawa pesa kwa kujionesha kuwa ni mwanaume wenzake ni wanawake wote n.k yataendelea kumgarimu popote aendako ASANTE...
Inauma namna serikali hii wanavyoaibishana wao kwa wao taarifa ya PAC imetokana na ukaguzi wa CAG,uchunguzi wa PCCB na TRA ambazo zote hizi ni taasisi za serikali.Kama taarifa ya PAC ni ya uongo,basi CAG,TAKUKURU na TRA wawajibishwe kwa kuundanganya umma wa Watanzania.
Ziko wapi asasi za kiraia, TAHLISO,TUGHE, RAAWU mko wapi au haliwahusu? Tuuganeni kupinga wizi huu wa wachache huku Watanzania wakifa kwa kukosa dawa, wanafunzi mkikosa mikopo, wananchi tukiwa na huduma mbovu kwa watoto wetu shuleni nk
Kwako prof. Muhongo,, Maswi na wengine nawakumbusha maneno ya Rais Kikwete alishawahi kusema hivi:
"Rasilimali inayopatikana mahali popote Tanzania ni mali ya Watanzania wote,yeyote anayetaka tuamini toufauti hajitakii mema yeye binafsi na wala Taifa"
'' Cheo ni dhamana, uongozi ni...
Waletwe Nyerere square Dodoma tuwachome MOTO mbona vibaka wakiiba hata simu ya tochi anaadhibiwa na wengi wamechomwa moto sembuse na hawa walafi wa kupindukia na wenye viburi vya pesa zetu kama MASWI na Muhongo na wengineo.Wizara na taasisi zake wameibadili kuwa ya kikurya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.