Recent content by magagafu

  1. magagafu

    Mabilioni Yanga usajili utashtua, Aziz Ki balaa!

    Azizi ki mbona anaekekea msimbazi
  2. magagafu

    Manara: Yanga yauza jezi mara tano zaidi ya klabu nyingine

    Manara anapata tabu sana na simba leo kaleta takwimu za kubumba ilimradi aamishe watu kuzungumzia performance ya Simba jana[emoji3][emoji3]
  3. magagafu

    Kuelekea mechi ya CAFCC | Simba SC dhidi ya ASEC Mimosas SC, mechi kubwa kwa timu kubwa

    We mwana simba mwenzetu je unakumbuka CAF group stage ya mwaka 2003 kipindi icho magroup ni mawili na timu ni 8 ambayo kama robo final ya sasa? Kundi liliisha 1Ismaily 2.Enyimba 3.Simba 4. Asec Simba alimaliza na points 7 alishinda dhidi ya Asec na enyimba mechi ya Ismaily refa alikataa goli...
  4. magagafu

    Simba Vs Yanga weka ubashiri wako hapa

    Mechi ishaisha yanga kajitahidi sana atapata saee ila shinda wanshinda si chini ya goli 2
  5. magagafu

    TFF funikeni Kombe mwanaharamu apite la sivyo mtaumbuka tena

    Mabango ya GSM wameyatoa
  6. magagafu

    Uongozi wa klabu ya Simba SC wamegoma kufanya kikao cha kocha na waandishi wa habari kisa bango lenye nembo ya GSM

    Sheria mdhamini mkuu anakaa bega la kuria sheria haitaji mdhamini mwenza anakaa wapi maana bega jengine klabu zina haki ya kuweka wadhamini
  7. magagafu

    Bundi atua Msimbazi, msemaji wa Simba ndugu Ezekiel Kamwaga abwaga manyanga

    Kwani alikaimu cheo kwa mda gani? Jiulize miezi miwili bado au tayari?
Back
Top Bottom